Sare za Taifa, maisha ya 90'S mwanzoni

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Enzi hizo miaka ya late 80's na earl 90's
kulikuwa na aina za mavazi ambazo almost kima mtu alivaaπŸ˜€πŸ˜€
ntazitaja baadhi zingine mtanisaidia malejendari

1. chupi zza kiume ziliitwa VIP, Hii kila mtu aliva ukianika nje unaweza kuondoka na ya dingi


suruali za TOKYO maarufu kama mchelemchele hizi zilikuja na mikanda yake




Mashati ya Bahama


WANAWAKE
walivaa viatu vya skuna


Mikanda ya Vipepeo


Enzi hizo nywele waliweka kalikit

magauni ya CHILIMENπŸ˜‰πŸ˜‰

Wanafunzi walivaa sare za sox za pundamilia


Viatu vinaitwa LAKUPANDA kipo kama buti ila ni raba









ONGEZEA ZINGINE MDAU WA ENZI HIZO TUWAKUMBUSHE HAWA NJUKA SISI NI WAHENGA
 
Mikanda ya crocodile
Raba za Kawasaki
Cap za fubu
Baiskeli za Avon
Cherehani za Butterfly
Majiko ya Tanelec
TV za Hitachi
Raba za DH
Yah inatosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…