Sare za TUGHE Mei Mosi 2023

Sare za TUGHE Mei Mosi 2023

digodigo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
311
Reaction score
254
Kimsingi naona mwaka huu wafanyakazi utumishi wa umma wanaotarajia kusheherekea siku yao maalum wamepigwa na kitu kizito kichwani maana hizo t-shirts hazina mvuto wowote na zimekuwa zikijirudia mwaka kwa mwaka na huenda ni matoleo ya miaka iliyopita yakabaki ndio wanarudishiwa licha ya michango yao ya kila mwezi.

Na kinachoshangaza zaidi, hivi rangi kwani ni hizo hizo tuu? Pia nina wasiwasi hata quality ikifuliwa mara moja L inakuwa XL na XL inakuwa XXL and so forth. Haya wafanyakazi hongereni!
 
Kimsingi naona mwaka huu wafanyakazi utumishi wa umma wanaotarajia kusheherekea siku yao maalum wamepigwa na kitu kizito kichwani maana hizo t-shirts hazina mvuto wowote na zimekuwa zikijirudia mwaka kwa mwaka na huenda ni matoleo ya miaka iliyopita yakabaki ndio wanarudishiwa licha ya michango yao ya kila mwezi.

Na kinachoshangaza zaidi, hivi rangi kwani ni hizo hizo tuu? Pia nina wasiwasi hata quality ikifuliwa mara moja L inakuwa XL na XL inakuwa XXL and so forth. Haya wafanyakazi hongereni!
Weka basi picha ili na wenzako nao waone na kufanya tathmini kama uliyofanya wewe.
 

Attachments

  • 20230427_150817[1].jpg
    20230427_150817[1].jpg
    1.2 MB · Views: 7
Back
Top Bottom