Get rid of David Luiz; Kepa and Alonso from first team.
Davis Luiz si wa kuamini anacheza slow hana pace akikutana na mtu kama aguero ni zahma
Alonso same, Pia hilo kipa ni kimeo.
Kante acheze kati kwa mfumo wako huo huo kwa nini hutaki kumwamini wakati hujamjaribu?
Kama hutaki ushauri wangu basi jiandae kuondoka una game 5 tu toka ya jana. umenikera sana jana sijui kwa nini unamlea sijui jonihno wako mtu hawezi hana stamina yoyote yupo laini sana hii ni EPL mzee yaani umemngangania tu acheze kila game hivi wewe ni kocha gani usiye na plan B wakati game inaendelea???
Usituchanganye....tuache kama vipi bwana !!