Jamani mi naomba kuuliza ivi bank zote wanakata hela kila mwezi kwenye account ya mtu hata kama hajatoa helayoyote. Hii imeniumiza sana baada ya kukuta helazangu zimelabwa huku ukizingatia ni hela za biscuti nilizodunduliza. Kama kunabenki hazikati hela kila mwisho wa mwezi tafadhali niambieni nikafungue account huko.