Ndio wakati sasa wa kujifunza, The multiplication process, mfano, TRC, inachokipata kirudi humohumo kuendeleza mradi, baada ya kutoa gharama zote, endapo kama inapata faida.
Tatizo mapato yetu mengi hutumika katika mishahara minono, na hayaelekezwi kwenye miradi yenye kurejesha fedha,mfano tumevundika mabilioni kwenye madege, haya ni kuyauza tu kubaki na chache zenye tija mfano cargo plane, kujenga barabara za zege, built a road that will took 100 year with no repair, that mean, Do and complete, permanently. Mavitu kama madege huwa na expire date, ukinunua ukaiweka tu, elewa ipo siku utaambiwa hairuhusiwi kuruka angani (akili kisoda)