Uchaguzi 2020 Sasa Basi hawa "wapinzani" wadhibitiwe lasivyo watamchosha Rais wetu

HaaaHaaa
 
Mtoa mada nakunga mkono.Mim ni Cdm ila toka nikae sikai kusikia sera na ilan yetu ila ubabaishaji tu.
 
Inaitwa "kinyume nyume" story

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
 
Ninyi kweli ni vilaza,badala ya kuwashukru kwa kuwasaidia kuwaeleweza watanzania uzuri wa ilani yenu,ninyi mnataka wadhibitiwe,au mmeweka matango pori humo?
 
Mwaka huu! Penye ' mapinzani ' weka chama dola na kinyume chake. Kwa hisani ya Watanzania.

Mbona mambo magumu sana, huu upepo wa kisulisuli vipi? Ni mara mia ya kimbunga kus- kaz. Ila tutaelewana tu kwa lugha adhimu ya kiswahili.
 
Haa haaa just haa haaa..! Wapinzani hawana watu kama sie wenye bonanza la mziki., wanaweka picha za zamani sana Lissu akigomnea Urais 2015..haaa haaa..!

Kichaa moto umekata, alifikiria atapita bila kupingwa kama alivyokua anafanya jimboni kwake akigombea Ubunge.
 
Kwa hako kasentensi kako ka kiinglish ni wazi upo uwazi mkubwa Sana ndani ya ubongo wako! Yaani Kuna mwanzi ndani ya kichwa chako! Nani mwizi wa Sera za mwenzake Kati ya ccm na cdm?
Ni ccm ndio mwizi wa Sera za cdm kwa miaka yote hii. Kachunguze utabaini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…