Uchaguzi 2020 Sasa Basi hawa "wapinzani" wadhibitiwe lasivyo watamchosha Rais wetu


Penye CCM waweza weka Chadema. Imeisha hiyo
 
Kama hutomind soma btn lines
 
πŸ˜‚πŸ˜‚wamesikia mkuu
 
Tatizo muda nitakaoupoteza sitoupata Tena! Halafu, Bora huko katikati ya mistari kungekuwepo na la maana ningejaribu!
Basi jaribu kupitia comment kuna watu Uzi umewapoteza maboya
 
It's possible?? hili ni swali inapaswa kuwa, Is It possible??
 
Dah huu uzi unawa expose sana Mataga, yaani uelewa wao ni mdogo sana wanakuunga mkono wakati umewapiga spana wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…