Uchaguzi 2020 Sasa Basi hawa "wapinzani" wadhibitiwe lasivyo watamchosha Rais wetu

Wewe umesoma ilani Yao kwa mfano
 
wapinzani wauwawe kabisa
 
Rais wako gani wanaomchosha? Huyu anayeacha madonda mioyoni mwa raia ya kupigwa risasi, chuki, uzandiki, wizi, ubaguzi, ukanda, upendeleo, uonevu, udhalilishaji wa wanawake hadharani, nk kila kona ya nchi? Kuliko kuchoshwa, ni afadhali atoke kabisa ikulu.
 
Wakati sisi ndiyo tumechoshwa kiuchumi
 
Ujinga Kabisa Hamna hoja mnataka kubebwa na polisi subiri Oct hao police hawatatosha
 
Tatizo lenu huwa hamtaki kushughulisha mabichwa yenu hayo
Pamoja na kujenga reli ndege Barabara kufanya mikutano ma TV kila Siku lakini wananchi hawamtaki choka mbaya mnajidanganya pamoja na kubebwa na police u salama tume hakuna hata bango moja la Lissu bado mnacoverage ya mikutano yenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…