Sasa hivi kila kukicha ni matamko na kujimwambafai kwa kila awaye akiamua...

Sasa hivi kila kukicha ni matamko na kujimwambafai kwa kila awaye akiamua...

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Kule Mbowe kasema vile huko fulani kadai kile ajabu hata wasio na hadhi japo ya kutamka jambo fulani na wao eti leo ni wasemaji!

Hayo mambo ya kijinga tulishayasahau kabisa na Watanzania tulishaamua kufanya yale tu yahusuyo maendeleo chini ya jemedari mwamba Hayati Magufuli.

Samia asipokuwa makini hakika hatotimiza lolote lihusulo maendeleo na hapo ndipo legacy ya JPM kwa Watanzania itapodhihiri.
 
Kule Mbowe kasema vile huko fulani kadai kile ajabu hata wasio na hadhi japo ya kutamka jambo fulani na wao eti leo ni wasemaji!

Hayo mambo ya kijinga tulishayasahau kabisa na Watanzania tulishaamua kufanya yale tu yahusuyo maendeleo chini ya jemedari mwamba Hayati Magufuli.

Samia asipokuwa makini hakika hatotimiza lolote lihusulo maendeleo na hapo ndipo legacy ya JPM kwa Watanzania itapodhihiri.
Magu alikuwa kichaa. na upuuzi wake kaharibu uchum , imepelekea tozo kila mahali,
 
Kule Mbowe kasema vile huko fulani kadai kile ajabu hata wasio na hadhi japo ya kutamka jambo fulani na wao eti leo ni wasemaji!

Hayo mambo ya kijinga tulishayasahau kabisa na Watanzania tulishaamua kufanya yale tu yahusuyo maendeleo chini ya jemedari mwamba Hayati Magufuli.

Samia asipokuwa makini hakika hatotimiza lolote lihusulo maendeleo na hapo ndipo legacy ya JPM kwa Watanzania itapodhihiri.
huu ni uzi au coment?
 
Yule alikuwa mwehu
Uchumi umeshuka
Uhuru wa kuishi ulikuwa confiscated na compromised

Huo ubora unatoka wapi?
 
Back
Top Bottom