Sasa hivi kuna suruali za Jeans za kike hazina mifuko lakini wanavaa wanaume wengi wa Dar es Salaam..

Sasa hivi kuna suruali za Jeans za kike hazina mifuko lakini wanavaa wanaume wengi wa Dar es Salaam..

tramadol

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
5,383
Reaction score
4,323
e8afb0a06241710f0d5ffe646acafcb2.jpg

Dar kuna mambo sana
 
Wanaume wa mkoa mtaacha ushamba lini?

Huna uthibitisho kaa kimya
 
Weka picha ya mwanaume wa dar aliyevaa hiyo suruali tuone
 
Ndo mambo ya wanaume wa Dar, sasa sijui pochi la pesa wanaweka wapi!
 
Ukipigwa usikimbilie polisi maana umeyataka mwenyewe.
 
ukiona wa hivyo ujuwe wametoka mkoani.. .wakavamia jiji kwa pupa .... yaana..swaga za town wahazujui wana bahatisha tu!
 
Back
Top Bottom