Sasa hivi nyuzi zakuiponda yangu zimepungua kabisa kama sio kuisha

Sasa hivi nyuzi zakuiponda yangu zimepungua kabisa kama sio kuisha

Revola

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2015
Posts
1,516
Reaction score
1,338
Wakuu watanzania wengi pamoja na unafiki wao wakuiponda yanga bila facts, kwa sasa Yanga imewafunga midomo na watu wengi wakifikilia kuiandikia upupu wakikumbuka walijalibu kuiansikia upupu kipindi kilichopita na maneno Kama "yanga kuifunga Belozdad ni sawa nakuvaa boxer nakuvuka maji bila pumbu moja kulowa". Yameandikwa mengi mabaya mwaka Jana kuhusu yanga, lakini yanga hii ya sasa iliwaaibisha vibaya Sana hadi wengine waliokuwa wakiiponda hapa kurudia nyuzi zao nakuziedit zikabaki na vichwa vya habari pekee. Hii ndio yanga MPYA ISIYOTABILIKA KIRAHISI. nadhani kwa sasa vinyuzi vingi hapa vimebakia vya simba na habari ya Mo kuiuza hahah. Tukutane baadae kwenye mechi ya Alhly vs Yanga.
 
Wakuu watanzania wengi pamoja na unafiki wao wakuiponda yanga bila facts, kwa sasa Yanga imewafunga midomo na watu wengi wakifikilia kuiandikia upupu wakikumbuka walijalibu kuiansikia upupu kipindi kilichopita na maneno Kama "yanga kuifunga Belozdad ni sawa nakuvaa boxer nakuvuka maji bila pumbu moja kulowa". Yameandikwa mengi mabaya mwaka Jana kuhusu yanga, lakini yanga hii ya sasa iliwaaibisha vibaya Sana hadi wengine waliokuwa wakiiponda hapa kurudia nyuzi zao nakuziedit zikabaki na vichwa vya habari pekee. Hii ndio yanga MPYA ISIYOTABILIKA KIRAHISI. nadhani kwa sasa vinyuzi vingi hapa vimebakia vya simba na habari ya Mo kuiuza hahah. Tukutane baadae kwenye mechi ya Alhly vs Yanga.
Haukuwa unafiki. Deportivo de Utopo haikuwa na historia yoyote ya kujivunia
 
Unataka muanze kujitutumua kama mmechuchumaa choo cha shimo?Tumewaacha ili muinjoi furaha ambayo Simba inaifaidi kwa miaka chekwa.
 
Umeelewa uzi unataka nini?
Kesho Simba inaenda kumtupa nje bingwa mara 3 wa CAFCL, ambaye toka msimu wa 2018 hajacheza chini ya nusu fainali. Hizo ndiyo historia za kujivunia bwashee siyo hizi za kumfunga CRB timu ambayo mafanikio yake makubwa ni miaka 28 iliyopita, tena kwa kufika nusu fainali tu kombe la washindi.
 
Kesho Simba inaenda kumtupa nje bingwa mara 3 wa CAFCL, ambaye toka msimu wa 2018 hajacheza chini ya nusu fainali. Hizo ndiyo historia za kujivunia bwashee siyo hizi za kumfunga CRB timu ambayo mafanikio yake makubwa ni miaka 28 iliyopita, tena kwa kufika nusu fainali tu kombe la washindi.
Itunze hii
 
Chura akishiba kidogo anadhani yeye ni Kenge, hakoromi.

Kelele za malalamiko ya huyu kabebwa, huyu kapendelewa, sijui kuna maadui kwenye taasisi za mpira, Tutaandika barua kulalamika, marefa hawatulindi hakuna kabisa.
 
Chura akishiba kidogo anadhani yeye ni Kenge, hakoromi.

Kelele za malalamiko ya huyu kabebwa, huyu kapendelewa, sijui kuna maadui kwenye taasisi za mpira, Tutaandika barua kulalamika, marefa hawatulindi hakuna kabisa.
Tatu FC, mmebaki na majini ya Mayele.!!! Na ndo kombe lenu..!!
 
Roho ziko mkononi hiyo nguvu ya kuiponda yanga wanaitowa wapi kwanza.
 
Kwa sababu hamjui hatma yenu.
Kuingia robo fainali? Au hatma ipi? Kwani iwapo itatokea ni mara ya kwanza Simba kutokuingia robo. Nyinyi kwenu hii ni special event ila Simba haipiganii kuingia robo sababu Yanga kaingia kwa mara ya kwanza tangu enzi hizo.
 
Kuingia robo fainali? Au hatma ipi? Kwani iwapo itatokea ni mara ya kwanza Simba kutokuingia robo. Nyinyi kwenu hii ni special event ila Simba haipiganii kuingia robo sababu Yanga kaingia kwa mara ya kwanza tangu enzi hizo.
Lol.
 
Unaiponda yanga kwa lipi mkuu, hata kama unachuki vipi, yanga ipo level zingine.
 
Back
Top Bottom