Sasa jiwe ndiyo kailoga timu ya taifa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

Sasa jiwe ndiyo kailoga timu ya taifa kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

ebaeban

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
2,205
Reaction score
2,697
Kwa kumtuma huyo Bashite eti sijui akafanye nini huko Misri kwenye mashindano ya AFCON ndo karoga timu kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, huyo Bashite ndiye anayeenda kuitia timu uvivu mwili mzima na kale kanguvu ka kupambana na Kenya kataisha. Jiwe ni scintist phylosopher anashindwa kuelewa kwaamba Bashite hawezi kuwa mhamasishaji wa suala lolote ? zaidi ya kuwa ni boredom creater? Wenye vyeti feki wenzie wamefukuzwa kazi yeye kabaki haoni kuwa ni kisababishi kikubwa cha hisia za chuki za jambo loloteambalo atalibebea kibendela?

Jamani mbona mambo mengine ni raahisi mno kuyadadavua? Kama hili la Bashite
 
...ndio hivyo tena, bashite ndie kama injini pale feri!
Tulishashtuka na kulijua hilo kitambo, mshika matunguri wa msema kweli!
 
Kwa mwendu huu kufungwa lazma
IMG_20190626_134752.jpeg
 
Wachezaji wanaweza pata motisha sababu Mheshimiwa kuna vitu vingi atafanya sababu ya kutengeneza anachokitafuta so behind that motive timu inaeza fanya maajabu makubwa lakini ni Probability............
 
Wachezaji wanaweza pata motisha sababu Mheshimiwa kuna vitu vingi atafanya sababu ya kutengeneza anachokitafuta so behind that motive timu inaeza fanya maajabu makubwa lakini ni Probability............
Kumnenepesha ng'ombe siku mnada sio!!!
 
Back
Top Bottom