Katika halii hii huwa tunaangalia Content zaidi ya style of deliverView attachment 2083885
Ameniboa kichizi yaani. Uandishi gani huu mdogo wake na Mlolongo?[emoji16][emoji16]
Physics wapi?Huyo tayari amesha pangiwa uuguzi ngazi ya cheti.Kupata D chemia na Bios ni kichwa huyo.mpeleke uuguzi aje atusaidie.sema kama ni mvulana itamsumbua sana.wengi wa waauguzi ni wanawake.ijapo wanaume pia wapo
Nes hahitaji hiyo Physics,ya kitu gani?Physics wapi?
Natania tu mkuu. Naelewa!Katika halii hii huwa tunaangalia Content zaidi ya style of deliver
Atabakia kuwa maskini na hizi course.Anaweza kusoma pharmacy kuanzia certificate
Nursing,lab Clinical medicine, dental
Lazima uwe na physics
Akasome course za technology eeh [emoji16]Atabakia kuwa maskini na hizi course.