Uko nyuma sana hadi nakuhurumia!Hakuna mbwa wa kuzuia uchaguzi lisu anawadanganya
Kwa hiyo ni mwendo wa kupita bila kupingwa, au siyo?Uko nyuma sana hadi nakuhurumia!
Wewe ndo unawadanganya watu. Nimesema, kitendo chochote cha kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kitakuwa ni sawa na kushika sharubu za Simba. Vivyo hivyo kushiriki kwenye kampeni, vivyo hivyo kusimamia uchaguzi katika Kituo.Hakuna mbwa wa kuzuia uchaguzi lisu anawadanganya
Hakuna mbwa wa kuzuia uchaguzi lisu anawadanganya
Vyama vingine 14 vya upinzani vitaharibu dhana hii,wanaweza wakasimamisha wagombea,halafu baada ya uchaguzi wakaenda viti maalum ambao si chademaUkituliza akili utaona ni kupotezea muda tu kushiriki uchaguzi wa namna hii. Mpinzani kuingiza timu ni sawa na kutumika kama condom ya kustarehesha CCM.
Umenikumbusha aliyeambiwa kupimwa mkojo na mkemia mkuu wa serikaliInawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-
1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.
2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
Jeshi hilihili linaloendekeza siasa, Mabeyo alipaisha tuta dakika za jioniš„¶Ila JESHI LA WANANCHI nalo liingilie kati tupate katiba mpya aisee
Na atakayezuia nani? Lissu na genge lake? Lile lililomsindikiza airport kipindi kile baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2020? Ahahahahaha!!!Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-
1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.
2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
Mkuu thanks, mod jf muwe mnaachia maandiko kama haya mapema ,kumekuepo na taratibu za kuficha maandiko muhimu na kuyaachia badae ,hii tabia ife vinginevyo nitawafungia kwa Mungu wangu .Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-
1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.
2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
Subiri, utajua tu nani anaweza kuzuia. Saa hizi bado pombe zipo kichwani, zikiisha utajua nani ni nani?Na atakayezuia nani? Lissu na genge lake? Lile lililomsindikiza airport kipindi kile baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2020? Ahahahahaha!!!
Mijinga na michawa inafiki haya ni maigizo ,yatajua hayajuiSubiri, utajua tu nani anaweza kuzuia. Saa hizi bado pombe zipo kichwani, zikiisha utajua nani ni nani?
Hakuna atakayeruhusiwa kugombea au kusimamia uchaguzi. Amri hii itatolewa huko mbeleni.
Ahahahahaha! Unaikumbuka UKUTA? Ahahahahaha!!Subiri, utajua tu nani anaweza kuzuia. Saa hizi bado pombe zipo kichwani, zikiisha utajua nani ni nani?
Hakuna atakayeruhusiwa kugombea au kusimamia uchaguzi. Amri hii itatolewa huko mbeleni.