LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Kwa tume hii tayari ccm Ina ushindi kibindoni tayari zaidi ya 50%Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-
1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.
2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
Kama jana ulishindwa kufanya jambo fulani haina maana kwamba hata kesho utashindwa kufanya jambo hilo. Kila zama na kitabu chake.Ahahahahaha! Unaikumbuka UKUTA? Ahahahahaha!!
Hapo sasa ndio Huwa tunasahau kumwombea CDF!Ila JESHI LA WANANCHI nalo liingilie kati tupate katiba mpya aisee
Ahahahahaha! Kila heri. Tukutane field!Kama jana ulishindwa kufanya jambo fulani haina maana kwamba hata kesho utashindwa kufanya jambo hilo. Kila zama na kitabu chake.
Ndivyo mnavyojidanganya?.Inawezekana kuna watu bado hawajaelewa vizuri maana ya No Reforms No election.
Maana yake ni kwamba:-
1. Hakuna atakayeruhusiwa kugombea nafasi yoyote ile ya uongozi kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi havijarekebishwa.
2. Hakuna atakayeruhusiwa kushiriki kwenye mkutano wowote ule wa kampeni kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
3. Hakuna atakayeruhusiwa kusimamia uchaguzi katika Kituo chochote kile kama Katiba na Sheria bora za Uchaguzi hazijatungwa.
Kupuuza maagizo hayo itakuwa ni sawa kabisa na kupima uwepo wa umeme kwa kutumia kidole.
We subiri.Ndivyo mnavyojidanganya?.
CCM chama kikubwa sana hakiwezi kutishwa na hizi harakati za kwenye mitandao ya mawasiliano.We subiri.