Sasa LHRC tumewaelewa

Sasa LHRC tumewaelewa

Maramla

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
588
Reaction score
648
Katiba inayopendekezwa haina shida na ni bora kwa maslah ya taifa ndio maana hawa jamaa wanakomaa na sheria.....na ndio maana wanatoa hoja za ajabu zisizoeleweka....kama wewe unaupeo wa kuelewa na hauna mawazo mgando wasikilize hawa jamaa sasa hivi ITV
 
Nyoo utakuwa na maslahi na hilo lipepa la fisadi chenge na mnafiki sita
 
Ww ni samwel sitta mzee mnafiki wa hali ya juu
 
Jile..kiluvya hiyo katiba ni ya watanzania na tuliwachagua wenyewe kwenda bungeni kutuwakilisha waliokuwa zaidi ya 600......sasa nakuwa na wasiwasi na hata akili zenu kama kweli mlifuatilia hilo bunge au la
 
Jile..kiluvya hiyo katiba ni ya watanzania na tuliwachagua wenyewe kwenda bungeni kutuwakilisha waliokuwa zaidi ya 600......sasa nakuwa na wasiwasi na hata akili zenu kama kweli mlifuatilia hilo bunge au la

Hebu fafanua vizuri jinsi wewe ulivyoshiriki kuwapata hao wajumbe wa BMK...

Wanasiasa wengi wanatumia lugha hiyo ya kuwa wananchi ndiyo waliowachagua wajumbe wa BMK...hebu fafanua uhusika wako wa moja kwa moja wa kumchagua mmoja wa wabunge hao...

Tafakari...
 
Nyoo utakuwa na maslahi na hilo lipepa la fisadi chenge na mnafiki sita

UPEO WA AKILI YAKO NDO UMEFIKIA HAPO KWA KIFUPI UMESHINDWA KUJIBU HOJA UNAANZA MATUC, MATUC HAPA SI MAHALA PAKE KATUKANE HUKO KWENU MLIPOZOEA KUTUKANANA. Pole sana.
 
hebu fafanua vizuri jinsi wewe ulivyoshiriki kuwapata hao wajumbe wa bmk...

Wanasiasa wengi wanatumia lugha hiyo ya kuwa wananchi ndiyo waliowachagua wajumbe wa bmk...hebu fafanua uhusika wako wa moja kwa moja wa kumchagua mmoja wa wabunge hao...

Tafakari...

Wajumbe wa BMK walipatikana kwa njia halali kwani BMK lilikusanya watu kutoka matabaka yote wakiwemo wajumbe waliochaguliwa na wananchi, wa viti maalum, pamoja wajumbe walioteuliwa na rais, hivyo katika bmk lilikuwa na makundi matatu ambayo ni wabunge wa kuteuliwa, wabunge wa majimbo maalum pamoja na wabunge wa kutoka katika asasi mbalimbali za kiraia kama vile wavuvi, waaandishi wa habari, wafugaji n.k hivyo hawa watu 640 wananchi ndo waliowaamini kwani wao ndo wawakilishi wao na ndo ilikuwa kazi yao ya kutunga katiba, lakini dhana ya kusema kuwa mambo fulani yametolewa kwenye rasimu ya warioba hilo sio kweli kabisaaa kwani warioba hakutunga katiba, yeye aliandika mapendekezo tu, chombo chenye mamlaka kisheria ya kutunga katiba lilikuwa ni bunge maalum la katiba tuu na si vinginevyo kwani watu wengi wamekuwa wakichanganya mammbo hapa eti katiba ya warioba, hahahahaha na hivyo bmk kupitia Sheria ya tangazo la serikali
NA. GN. 254 ilipewa mamlaka kwa bunge hilo kuendelea na shughuli zake na pia kifungu cha 25 cha Sheria ya katiba, bmk lilikuwa sahihi kufanya marekebisho yoyote pale palipohitjika. Nadhani nimekujibu swali lako vema.
 

Wajumbe wa BMK walipatikana kwa njia halali kwani BMK lilikusanya watu kutoka matabaka yote wakiwemo wajumbe waliochaguliwa na wananchi, wa viti maalum, pamoja wajumbe walioteuliwa na rais, hivyo katika bmk lilikuwa na makundi matatu ambayo ni wabunge wa kuteuliwa, wabunge wa majimbo maalum pamoja na wabunge wa kutoka katika asasi mbalimbali za kiraia kama vile wavuvi, waaandishi wa habari, wafugaji n.k hivyo hawa watu 640 wananchi ndo waliowaamini kwani wao ndo wawakilishi wao na ndo ilikuwa kazi yao ya kutunga katiba, lakini dhana ya kusema kuwa mambo fulani yametolewa kwenye rasimu ya warioba hilo sio kweli kabisaaa kwani warioba hakutunga katiba, yeye aliandika mapendekezo tu, chombo chenye mamlaka kisheria ya kutunga katiba lilikuwa ni bunge maalum la katiba tuu na si vinginevyo kwani watu wengi wamekuwa wakichanganya mammbo hapa eti katiba ya warioba, hahahahaha na hivyo bmk kupitia Sheria ya tangazo la serikali
NA. GN. 254 ilipewa mamlaka kwa bunge hilo kuendelea na shughuli zake na pia kifungu cha 25 cha Sheria ya katiba, bmk lilikuwa sahihi kufanya marekebisho yoyote pale palipohitjika. Nadhani nimekujibu swali lako vema.

Nakiri kumpigia kura mbunge wangu akaniwakilishe bungeni.

Sioni ushiriki wa moja kwa moja mimi kumpigia kura mbunge wa BMK.

Nilichotaka kwako ni USHIRIKI wako wa moja kwa moja katika kumpata mbunge wa BMK...

Ile sheria unayoisema imetungwa kupendelea kundi moja la wabunge kwa kivuli cha kuchaguliwa na wananchi...

Hujajibu swali langu, na hapa narudia:
Ushiriki wako wa moja kwa moja katika kumpata mwakilishi wako katika BMK ni upi na ikibidi unitajie uliyempigia kura akuwakilishe...

Tafakari...
 
Nakiri kumpigia kura mbunge wangu akaniwakilishe bungeni.

Sioni ushiriki wa moja kwa moja mimi kumpigia kura mbunge wa BMK.

Nilichotaka kwako ni USHIRIKI wako wa moja kwa moja katika kumpata mbunge wa BMK...

Ile sheria unayoisema imetungwa kupendelea kundi moja la wabunge kwa kivuli cha kuchaguliwa na wananchi...

Hujajibu swali langu, na hapa narudia:
Ushiriki wako wa moja kwa moja katika kumpata mwakilishi wako katika BMK ni upi na ikibidi unitajie uliyempigia kura akuwakilishe...

Tafakari...

WEWE ACHA MBWEMBWE ZAKO NIMEKUJIBU VIZURI SANA HAPO JUU SASA CJUI UNATAKA UELIMISHWE VIPOI AU CLASS ULIKUWA MTU WA CHABO KWANINI UNAKUWA MVIVU WA KUSOMA?? KASOME HIZO SEHEMU UELEWE KILA KITU NIMEKUWEKEA YAANI UNATAKA UTAFUNIWE ILI UMEZE TUU? KHAAA AIBU HIYO NIMEKWAMBIA UTARATIBU ULIOTUMIKA NDO HUO HAPO JUU, WEWE MAJIBU UNAYO SASA KWANINI UNAULIZA MAJIBU TENA?? UNA MATATIZO WEWE YANI HAPO HATA MTOTO WA CHEKECHEA ANAELEWA NILICHOKIANDIKA SEMBUSE WEWE JIBABA LENYE MADEVU? Khaaa
 
Nakiri kumpigia kura mbunge wangu akaniwakilishe bungeni.

Sioni ushiriki wa moja kwa moja mimi kumpigia kura mbunge wa BMK.

Nilichotaka kwako ni USHIRIKI wako wa moja kwa moja katika kumpata mbunge wa BMK...

Ile sheria unayoisema imetungwa kupendelea kundi moja la wabunge kwa kivuli cha kuchaguliwa na wananchi...

Hujajibu swali langu, na hapa narudia:
Ushiriki wako wa moja kwa moja katika kumpata mwakilishi wako katika BMK ni upi na ikibidi unitajie uliyempigia kura akuwakilishe...

Tafakari...

NAJUA UNATAKA NIKUJIBU KUWA NA MIMI NILIKUWA MJUMBE HAHAHAHA SIKUJIBU HIVYO MIMI SIKUWA MJUMBE ILA NAFAHAMU MCHAKATO ULIVYOKUWA NA SINA SHAKA LOLOTE JUU YA HILO WEWE BAKI NA KUTOELEWA KWAKO UTAELEWA ATAKAPOKUJA YESU MARA YA PILI!! Khaaa
 
WEWE ACHA MBWEMBWE ZAKO NIMEKUJIBU VIZURI SANA HAPO JUU SASA CJUI UNATAKA UELIMISHWE VIPOI AU CLASS ULIKUWA MTU WA CHABO KWANINI UNAKUWA MVIVU WA KUSOMA?? KASOME HIZO SEHEMU UELEWE KILA KITU NIMEKUWEKEA YAANI UNATAKA UTAFUNIWE ILI UMEZE TUU? KHAAA AIBU HIYO NIMEKWAMBIA UTARATIBU ULIOTUMIKA NDO HUO HAPO JUU, WEWE MAJIBU UNAYO SASA KWANINI UNAULIZA MAJIBU TENA?? UNA MATATIZO WEWE YANI HAPO HATA MTOTO WA CHEKECHEA ANAELEWA NILICHOKIANDIKA SEMBUSE WEWE JIBABA LENYE MADEVU? Khaaa

Nachelea kusema kwamba swali/andiko langu la kwanza umelisoma kwa kukulupuka, hukunielwa.

Nilichotaka kutoka kwako ni kifupi tu: WEWE BINAFSI, ULOSHIRIKI VIPI KUMPATA MWAKILISHI WAKO KATIKA BMK...

Mimi sikuhitaji elimu ninayoijua niipate tena kutoka kwako.

NI VIZURI KURUDIA MARA KADHAA ANDIKO LA MTU KABLA HUJAMJIBU...

Tafakari...
 
Nachelea kusema kwamba swali/andiko langu la kwanza umelisoma kwa kukulupuka, hukunielwa.

Nilichotaka kutoka kwako ni kifupi tu: WEWE BINAFSI, ULOSHIRIKI VIPI KUMPATA MWAKILISHI WAKO KATIKA BMK...

Mimi sikuhitaji elimu ninayoijua niipate tena kutoka kwako.

NI VIZURI KURUDIA MARA KADHAA ANDIKO LA MTU KABLA HUJAMJIBU...

Tafakari...

KAMA HAUNA HOJA PUMZIKA KAKA AU ENDELEA KULALA, NIMEKUJIBU KILA SWALI TENA NIMEKUPA VIELELEZO, HAYO MASWALI YA KIPUUZI JIULIZE WEWE AU KMUULIZE HUYO MJUMBE ALIYEKUWAKILISHA WEWE NDO AKUPE MAJIBU, NAONA UNAZUNGUSHA ZUNGUSHA MAMBO TU HUMU NDANI, WEWE NDO UNAKURUPUKA NIMEKUJIBU UNAANZA KUZUNGUSHA TENA MASWALI.!! Khaaa
 

KAMA HAUNA HOJA PUMZIKA KAKA AU ENDELEA KULALA, NIMEKUJIBU KILA SWALI TENA NIMEKUPA VIELELEZO, HAYO MASWALI YA KIPUUZI JIULIZE WEWE AU KMUULIZE HUYO MJUMBE ALIYEKUWAKILISHA WEWE NDO AKUPE MAJIBU, NAONA UNAZUNGUSHA ZUNGUSHA MAMBO TU HUMU NDANI, WEWE NDO UNAKURUPUKA NIMEKUJIBU UNAANZA KUZUNGUSHA TENA MASWALI.!! Khaaa

Wewe kuwa mjumbe au kutokuwa mjumbe wa BMK hakuniongezei wala kunipunguzia chochote kwa sababu sikushiriki katika uteuzi/uchaguzi.

Ninachokiona kwako ni tabia zile zile za akina zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa ccm, watu wasiotaka kuyatazama mambo kwa jicho la tatu, watu wanaosubiri wengine wafikiri na kuamua kwa niaba yao, watu wa pangu pakavu tia mchuzi, mashabiki wanaosema ndiyo kwa kila kinachosemwa na kutendwa na hao walioshika akili na fahamu zao...

Nimekuona kama mwanafunzi anayejibu swali kutokana kukariri na siyo kuelewa...

Huna tofauti na Livingstone
Huna tofauti na Asumpta...

Tafakari...
 
Wewe kuwa mjumbe au kutokuwa mjumbe wa BMK hakuniongezei wala kunipunguzia chochote kwa sababu sikushiriki katika uteuzi/uchaguzi.

Ninachokiona kwako ni tabia zile zile za akina zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa ccm, watu wasiotaka kuyatazama mambo kwa jicho la tatu, watu wanaosubiri wengine wafikiri na kuamua kwa niaba yao, watu wa pangu pakavu tia mchuzi, mashabiki wanaosema ndiyo kwa kila kinachosemwa na kutendwa na hao walioshika akili na fahamu zao...

Nimekuona kama mwanafunzi anayejibu swali kutokana kukariri na siyo kuelewa...

Huna tofauti na Livingstone
Huna tofauti na Asumpta...

Tafakari...

UTAJIJU, HAPA HATUONGELEI MAMBO YA VYAMA SAMAHANI SANA LIJIBABA WEWE, WALA HATUZUNGUMZII MAMBO YA AKINA LIVINGSTONE WALA HUYO BABU YAKO ASUMPTA, HUKO NDO KUISHIWA HOJA KWENYEWE, PUMZIKA FAGIA UWANJA HAPO KWENU AU CHOTA MAJI HAPO KWENU!! Hahahaha
 
Katiba inayopendekezwa haina shida na ni bora kwa maslah ya taifa ndio maana hawa jamaa wanakomaa na sheria.....na ndio maana wanatoa hoja za ajabu zisizoeleweka....kama wewe unaupeo wa kuelewa na hauna mawazo mgando wasikilize hawa jamaa sasa hivi ITV

Mkuu upo speed kuanzisha mada za katiba, wewe kama sio sitta ni chenge
 
Hebu fafanua vizuri jinsi wewe ulivyoshiriki kuwapata hao wajumbe wa BMK...

Wanasiasa wengi wanatumia lugha hiyo ya kuwa wananchi ndiyo waliowachagua wajumbe wa BMK...hebu fafanua uhusika wako wa moja kwa moja wa kumchagua mmoja wa wabunge hao...

Tafakari...[/
Kwanz mi niliwakilishwa na mbunge wangu niliyempigia kura kipindi cha uchaguzi....wajumbe amano walikuw na nafasi ya moja kwa moja kuingia bunge maalum la katiba.......sasa kama hata hilo hujui we sinikilaza na uondoke huku kwama greatthinkerzz
 

UTAJIJU, HAPA HATUONGELEI MAMBO YA VYAMA SAMAHANI SANA LIJIBABA WEWE, WALA HATUZUNGUMZII MAMBO YA AKINA LIVINGSTONE WALA HUYO BABU YAKO ASUMPTA, HUKO NDO KUISHIWA HOJA KWENYEWE, PUMZIKA FAGIA UWANJA HAPO KWENU AU CHOTA MAJI HAPO KWENU!! Hahahaha

Teh teh teh...ngoja mie nifagie uwanja na wewe uoshe vyombo na kupiga deki...

Tafakari...
 
Back
Top Bottom