Sasa LHRC tumewaelewa

Kaolewe huko c umetaka chai kwann ulalamike unaungua? Usivamie msitu kwa kiwembe WE UNAKURUPUKA UTADHANI UNAENDA KUKINGA CHAKULA CHA NJAA!!
Mi nadhani kajiunge na Hadija Kopa, na sio JF. Coz you are too shallow in digesting things.
 
Mi nadhani kajiunge na Hadija Kopa, na sio JF. Coz you are too shallow in digesting things.

Vipi tena? Mbona hivyo? Waungwa huwa tunazungumza, nawasihi sote tiutumie vizuri safu hii kwa manufaa ya kupata elimu adhimu juu ya masuala mbalimbali ya kijamiii ikiwemo la Katiba Inayopendekezwa sasa humu naamini tulumbane kwa hoja nzuruuri na najua tutakwaruzana lakini mwisho wa yote Taifa letu lipate Katiba BORA.
 
Intojanda, achana na huyo book 7 atakupotezea muda wako bure, yeye yupo kazini unajua!!!!!

Nimekusoma mkuu, ahsante kwa ushauri....
Licha ya ushabiki lakini pia nimehisi uwezo wake wa kufikiri ni mdogo...nampuuza.

Tafakari...
 
Nimekusoma mkuu, ahsante kwa ushauri....
Licha ya ushabiki lakini pia nimehisi uwezo wake wa kufikiri ni mdogo...nampuuza.

Tafakari...

Nyie wote hamnazo!! hiyo yote kisa mmepigwa madongo na hako kajamaaa, kumbe waoga hivyo hahahaha dawa na nyie c mnamchallenge awaelewe, anyway nashauri mnapoweka hoja epukeni maneno yenye kuleta chuki baina yenu hapo mtaenda pamoja
 
Nyie wote hamnazo!! hiyo yote kisa mmepigwa madongo na hako kajamaaa, kumbe waoga hivyo hahahaha dawa na nyie c mnamchallenge awaelewe, anyway nashauri mnapoweka hoja epukeni maneno yenye kuleta chuki baina yenu hapo mtaenda pamoja

Ukibishana na kichaa kwa kuwa wewe huna vimelea vya ukichaa bila shaka atakushinda tu...

Ungefuatilia hoja zangu tangu mwanzo usingeandika hivyo, labda kama na wewe uwezo wako wa kufikiri ni wa kuamuliwa na wengine...

Ukishindana na mpuuzi daima wenye busara watakuona wewe ndiye mpuuzi zaidi yake...

Tumemuelewa kuwa ni kasuku asiyejua nini hasa maana ya 50/50 kwenye katiba pendekezwa ya sita na chenge...

Tafakari...
 
Ndugu cjui una matatizo ya akili au ulikimbia Milembe? Pole siwezi kubishana na mentally ill people, find another person of your kind.

Ahsante kwa kutambua hilo kwamba daima wenye uvivu wa kufikiri huwa wanakimbilia kuwaadhibu wanaotofautiana nao mtazamo...

Kwa maana hiyo sikushangai kwa maneno yako.Ninachofanya ni kukupuuza tu mpaka utakapokuwa umejitambua na kuwa na uwezo wa to think out of the box...

Tafakari...
 
Tanzania Yetu ndio hii na watanzania ndio sisi.
Kwa ufupi tu post zetu za leo, je kuna kusaidiana, kuinuana, kufundishana, kueleweshana?
 

Wewe na huyo jamaa yako ulimquote mnamatatizo nyie, sasa mnatuwekea page ndefu zisizo na maana nini humu? wekeni hoja bhana acheni masihara.
 
Pumzikeni nyie kama mmechoka ndo nini hiko juu?
 
Ila jana JAMAA waliisasambua katiba na sheria nyinginezo zenye mshikeli! Hakika ambaye hakutazama kipima joto cha jana kakosa mengi! Vilikuwepo vichwa pale, vilimwaga shule ya nguvu haswaaaa!
 
Kojoa ukalale dogo...

Acha ushabiki, jenga hoja...

Tafakari...

Siku zote sitachoka kusema huwezi kutoa usichonacho. Kama umechoka kapumzike wala hakuna mtu atakayekuuliza mbona umetoka JF saa hizi?

Wakati mwingine tuwe wa kweli, muda wa kupumzika uujali maana huyo jamaa "Intonjanda" anatoa maneno ambayo antujulisha anahitaji kwenda haja ndogo, jamani mwacheni aende! JF hatuna ugomvi na mtu muwazi, hiyo ni haki yake ya kiafya. Ila akimaliza asome Katiba Inayopendekezwa kwa maslahi ya kizazi cha sasa na vizazi vijavyo.
 

teh teh teh...nimeipenda sana hiyo...

Tafakari...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…