Jamani wakina kaka Poleni!
Jamani na sisi wakina dada tujue basi hata parts za kuacha wazi. hata kama biashara ni matangao, ni mwanaume gani atavutiwa ma mipaja imejaa mikwaruzo kwaruzo kama ya huyo dada? jamani si tujiangalie na sisi! Ila kwa kuwa yuko club na jamaa wamechakaa, watachukua mzigo, ila asubuhi, wakati pombe zimetoka, anataka kupasha kabla hajafungua porch, he will neglect for the rest of his life!