sasa mtaani ni kata funua tu!

Washakaji wanaodata wanaishushia hadhi ndumu ila ndumu haina tatizo na mtu.
Dah! Sitaisahau siku ya kwanza kuivuta nikaenda kuangalia TV sasa kila nikiangalia mtangazaji anavyotangaza taarifa mm nikawa nacheka hasa.. Mpaka machozi yananitoka yaani mpaka leo nikiwaza kilichokuwa kinanichekesha hakipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…