Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Aug 16, 2020 #2 Mabange
Beeb JF-Expert Member Joined Aug 18, 2018 Posts 29,394 Reaction score 59,069 Aug 16, 2020 #3 πππ akitoka hapo hana kiuno
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Aug 16, 2020 #4 Mshana Jr said: Mabange Click to expand... Washakaji wanaodata wanaishushia hadhi ndumu ila ndumu haina tatizo na mtu.
Mshana Jr said: Mabange Click to expand... Washakaji wanaodata wanaishushia hadhi ndumu ila ndumu haina tatizo na mtu.
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,355 Reaction score 14,408 Aug 16, 2020 #5 Hiyo picha imetengenezwa tu.
Mgirik JF-Expert Member Joined Apr 27, 2013 Posts 13,213 Reaction score 13,253 Aug 16, 2020 #6 Daudi Mchambuzi said: Washakaji wanaodata wanaishushia hadhi ndumu ila ndumu haina tatizo na mtu. Click to expand... Dah! Sitaisahau siku ya kwanza kuivuta nikaenda kuangalia TV sasa kila nikiangalia mtangazaji anavyotangaza taarifa mm nikawa nacheka hasa.. Mpaka machozi yananitoka yaani mpaka leo nikiwaza kilichokuwa kinanichekesha hakipo.
Daudi Mchambuzi said: Washakaji wanaodata wanaishushia hadhi ndumu ila ndumu haina tatizo na mtu. Click to expand... Dah! Sitaisahau siku ya kwanza kuivuta nikaenda kuangalia TV sasa kila nikiangalia mtangazaji anavyotangaza taarifa mm nikawa nacheka hasa.. Mpaka machozi yananitoka yaani mpaka leo nikiwaza kilichokuwa kinanichekesha hakipo.
Sakapara JF-Expert Member Joined Jun 24, 2019 Posts 299 Reaction score 397 Aug 18, 2020 #7 Mshana Jr said: Mabange Click to expand... Usela mavi huo[emoji1787]
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 96,456 Reaction score 156,324 Aug 21, 2020 #8 Bangeeeh