Sasa mwendokasi itakuwa ya raha kama vile kupanda Range

Sasa mwendokasi itakuwa ya raha kama vile kupanda Range

Bemendazole

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
2,649
Reaction score
6,680
Usiku wa jana nilikuwa na furaha isiyo kifani. Jambo hili limeniumiza kichwa kwa muda mrefu hatimaye kwa kudra za Mwenyezi Mungu, usiku wa jana nimeweza kulisolve.

Sasa wanufaika wote wa mradi huu kaeni mkao wa kula. Jambo hili nililolibuni likiwekwa kwenye utekelezaji, 90% ya changamoto za mradi huu zitakuwa zimekwisha kabisa.

Hivi sasa naweka vitu vizuri kwenye concept note na michoro kadhaa naifanyia drawings.

Mambo yakikamilika, ntarudi tena hapa jukwaani na kila kitu.

Kwa kweli wadau, msiandike mengi zaidi ya kunipa hongera. It waz not easy.
 
Hivi sasa naweka vitu vizuri kwenye concept note na michoro kadhaa naifanyia drawings
Weka kwanza hivo vitu kwenye concept note na hiyo michoro uifanyie drawings ndo uje uombe pongezi hapa.

Vinginevyo ni utapeli tu kama utapeli mwingine
 
Weka kwanza hivo vitu kwenye concept note na hiyo michoro uifanyie drawings ndo uje uombe pongezi hapa...

vinginevyo ni utapeli tu kama utapeli mwingine
Shaka ondoa mkuu. Cjawahi kuwaangusha wana JF kwenye jambo lolote.
 
Mtu akiwa kichaa sio lazima aokote makopo
Vitu vyote Duniani vimegunduliwa na 'vichaa'!

Uwezo wa akili ya mtu aliye timamu kwa 100% ni kumuwezesha kuvukia bara bara tu.
 
Back
Top Bottom