Elections 2010 Sasa Najiunga Na Chama Cha Siasa Rasmi

Tutafutane tuunganishe nguvu hii...! Nami natamani kupata support ya kuunganisha nguvu ili tuing'oe kisiki fulani, bado naogopa kukitaja lakini lazima niombee kwa Mungu na kuiwekea mikakati hiyo...! Please, I need your support especially to convince women...!
 
tunakuomba INVISIBLE popote ulipo utufungulie Jukwaa letu la CHADEMA, mimi pia nitajiunga na Chadema Katikati ya mwezi huu.
 
Naunga mkono hoja, vidole viwili salamu na ishara yetu daima!!
 
Wajameni, Profession yangu hainiruhusu kuwa na kadi ya chama cha siasa lakini I am sorry nitajiunga na Chadema tu.


Hakuna Marefu Yasiyokuwa na Ncha
 

Du! mkuu umenikuana kidogo hapo juu ulipoweka baadhi ya majina miongoni mwao wakiwa MACHAMPION WA CHADEMA, lakini kuna jina moja umelisahu, JAJI MSTAAFU, BOB MAKANI ame play big part katika maendeleo ya CHADEMA.
 
mimi nilikuwa mwanachama wa NCCR- Mageuzi lakini sijalipia kadi ya pata miaka kumi hivi! hivyo uanachama wangu ulishakufa, basi nami sina budi kutangaza rasmi kujiunga na CHADEMA, wala sioni taabu nitatembea kifua mbele kwa sababu ya kazi waliofanya akina Mbowe, Slaa, Zito, Mdee na wengineo, Wadau nifahamisheni ofisi za CHADEMA Segerea ziko wapi!

Sasa tunapaswa kukikuza chama zaidi ili tuweze kuchukua nchi ifikapo mwaka 2015,
wakati CCm wanatibu majeraha ya makundi Chadema imarisha chama. Naunga Mkono Operation Nyangumi!
 
nisaidieni na me pia nawezaje kujiunga faster?
 

Jimbo langu wamepitisha mbunge wa CCM bila kupingwa wakati ni masikini wa kutupwa??

Naomba uhai.

2015 nagombea mwenyewe. Kwa tiketi ya Chadema

Nimekulia huko. Wananijua mtoto wao.
 
Nafikiri tupo wengi sana ambao tulikuwa mashabiki wa CHADEMA na sasa tutakuwa wanachama halisi. Mimi na nyumba yangu (familia yangu) ni miongoni mwao na nina uchungu sana na kuikomboa Ruvuma, hasa wilaya ya Mbinga. Hiyo operation nitaomba ikaanzie huko. Hakika nimefurahishwa sana na watu wa kigoma, Mbeya, mwanza, Dar n.k. Hii ni dalili njema katika nchi hii.
 
Karibuni sana wanaharakati,wapiganaji naomba muwe waalimu kwa wanachi hasa mikoa masikini kuliko(Iringa(V),Dodoma,Singida ,Pwani,Morogoro,Lindi n.k Watu wanaona umasikini ni haki yao we need a great Change. Vijana amkeni. Ila nilisikitaka sana niliposikia Vijana wa UDOM wamechanga hela za mkopo(Tirdo) Tsh 1,000,000) kumuwezesha Mr Kikwete kuchukua fomu ya urahisi. Nyie watu wa UDOM mlikuwa hamna uhakika kuwa mtasomaa,naamini wengi ni wwatoto wa wkulima tena wengine ni waalimu wa Crsh Program mishahara ya 165,000 inawapa vibuli ee? Tuwasaidie wazazi tuliowaacha vjjini waliokata tamaa. U dom kunahitaji mabadiliko. Thts y sisi wasomi tunawasiwasi na vyeti vyenu na elimu inayotolewa hapo . Wanaharakati tufanye oparesheni pasua pale UDOM.
 

Unapoona umuhimu wa kuandika PhD basi pia uone umuhimu wa kuandika PhD ya kitu gani. Ni PhD ya Sheria za Kanisa!
 
Unapoona umuhimu wa kuandika PhD basi pia uone umuhimu wa kuandika PhD ya kitu gani. Ni PhD ya Sheria za Kanisa!

ogopa sana mtu ambaye hajui kusema ahsante kwenye maisha yake!!
 
Naunga mkono hoja. Kweli kabisa lazima pawe na campeni za makusudi kwenda vijijini na kuwaamsha waliolala. Mimi binafsi niko tayari kutumia muda wangu kulifanya hilo.
 
Naunga mkono hoja. Kweli kabisa lazima pawe na campeni za makusudi kwenda vijijini na kuwaamsha waliolala. Mimi binafsi niko tayari kutumia muda wangu kulifanya hilo.

Panda basi na anza safari ya vijijini immediately! No time wasting please! Teh teh teh!!!!
 

Mwaka 2015 hakuna hata mtu atakayepita bila kupingwa lazima kuwa na wagombea wazuri na wanaofahamika katika kila jimbo. kazi ya kuelimisha wananchi na kueleza sera na mipango ya chama lazima ianze leo na si kesho. Nami, kwa rehema ya Mwenyezi Mungu, nitakuwa katika kinyang'anyiro hicho nadhani hilo jimbo la Kinondoni litanifaa. Kitaeleweka
 
Mkuu Ng'wanangwa,
hapa niliyo nina uchungu na hasira sanaa...tena sana, kwa sababu hiyo, tangu jana nimeshindwa kufanya kazi inavyotakiwa.
But, hii thread uliyoanzisha inaleta matumaini kwamba tunatakiwa kuangalia mbele zaidi wakati tunapopita katika kipindi cha majaribio kama hiki cha sasa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…