Nashukuru wananchi mnaoipenda Tz mnaamka nami nipo nanyi. Tovuti ya Chadema huwa hawajibu mfano nililodge request yangu mwezi juzi lakini mpaka leo sijajibiwa,najua wako bize siwezi laumu. My request: NATAKA KUPELEKA PROPOSAL KWA Dr.SLAA PALE UFIPA HQ ILI CHADEMA IWE NA TAWI MTANDAONI HAPA JF. Tuwe na kadi za Chadema lakini ni Tawi mtandao hapa Jf pia mwanachama yeyote wa tawi la kawaida anaweza kuwa mwanachama wetu,mtandao/internet itasaidia kufikia watu wengi,kupeana taarifa wenyewe bila watu kujua si watu wa tigo,zain wala voda watapata mawasiliano yetu! Hii munaionaje wasomi wanamageuzi? Jaman tupo wengi,ni tawi tosha,kumbuka jf voters wa dr.SLAA tulikuwa over 6700 tunatosha kuunda tawi hapa Jf au vipi?! Nawasilisha.