Me too,tulisafiri naye kwa saa 6 (sita) amekaa kimya,ametulia kimya na sisi wote kimya mpaka tunafika hana unafiki unafiki yaani sijui mimi simba na wewe yanga,joto au baridi siku hizi au mvua inanyesha ua laa.
Yaani kimya kimya tu,
kazi kazi tu.
Yaani una ile no nonsense stance
No more hakuna utani
rais wangu bwana, kaazi kwelikweli
kajaza mabongo fleva kwenye birthday yake huku wachumi waangalia bigbrother africa (BBA III)... kweli nchi ina usingizi
\Me too,tulisafiri naye kwa saa 6 (sita) amekaa kimya,ametulia kimya na sisi wote kimya mpaka tunafika hana unafiki unafiki yaani sijui mimi simba na wewe yanga,joto au baridi siku hizi au mvua inanyesha ua laa.
Yaani kimya kimya tu,
kazi kazi tu.
Yaani una ile no nonsense stance
No more hakuna utani
rais kikwete akisalimiana na mkurugenzi mtendaji wa makampuni ya clouds media group,bw.joseph kussaga usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya taasisi ya wama,jijini dar
rais kikwete akisalimiana na mwenyekiti wa kampuni ya burudani hapa nchini,prime time promotions ltd,juhayna ajmi.
hapa hamna haja ya caption tumemzoea tunamjua
source: Jiachie blog