Moja wapo la nililojifunza watanzania wa mitandaoni wana muda mwingi wa kujadili watu wanaotafuta pesa kiasi cha kutaka kutoana ngeu.Asanteni wote mlioshiriki kwenye mjadala huu, nime pitia comments zote mwanzo mwisho na kuweza kujua na kujifunza mengi.
Hilo ndio la kujiuliza mkuu, tabu Sana.Moja wapo la nililojifunza watanzania wa mitandaoni wana muda mwingi wa kujadili watu wanaotafuta pesa kiasi cha kutaka kutoana ngeu.
Sasa kampuni ikiwa ya diamond au la sijui mtu unanufaika nn.
#Tanzania-ya-udaku.
Ukinionesha post yangu moja TU niliyowahi kusema Kusaga hana share zozote za Wasafi, basi najipiga ban mwenyewe hadi June 2019!!Duuuu Daaah hoja ya Kusaga kumiliki wasafi mbona haizungumziwi? Maana mlitulisha matango pori kwamba kusaga hana share zozote wasafi.
Unaona sasa! Kabla ya kwenda mbali, kauli yangu hiyo tu inawasuta wale waliosema eti "tulikuwa" tunasema Wasafi ni 100% Diamond! Au "tu" sijui ni akina sijui!How come awe na 100% wakati hata sheria hairuhusu?!
Hivi nina haja ya kuendelea kweli hapo?! Lakini ngoja, labda ni hiki ndicho ambacho ulishindwa kunielewa:Na wala hakuna anayesema Diamond anamiliki Wasafi Media peke yake kwa sababu hakuna biashara za namna hiyo duniani kote unless kama ni biashara ya kuuza mchicha na nyanya Kariakoo! Na wala hakuna anayesema Kusaga hana hisa Wasafi Media kwa sababu, Kusaga ni mtu ambae anapenda sana kutumia brand kubwa za wenzake kufanya biashara kama ambavyo wengine wanavyoenda kutumia brand kubwa ya kwake pale Clouds!
Umeona tofauti ya ulichosema na nilichosema?!Of course kwavile Kusaga mjanja, anaweza kutumia brand ya msanii kwa kumpa hisa kidogo lakini msanii huyo kamwe hawezi kuwa Diamond kwa sababu yule jamaa mpende au mchukie, ni mjanja kwenye biashara na ni mtu asiependa kutumika!! Hivi hujiulizi ni kwanini hata endorsement zake zinatoka kwenye kampuni kubwa kama Coca Cola na Vodacom?! Sio kwamba kampuni zingine hazimfuata lakini wanashindwa kufika bei!
Heshima kwako Mkuu chige Salute you!!! Sorry kwa ku_generalise issue ya Timu Dangote kwamba walikuwa wanasema kwamba "Kusaga hana share Wasafi",Wengi mashabiki wa Dangote walitulisha "KASA" ila shukrani kwa kutoa maelezo hakika wakiona comments zako za kukubali kwamba Dangote hamiliki 100% itawafumbua "Brain".Ukinionesha post yangu moja TU niliyowahi kusema Kusaga hana share zozote za Wasafi, basi najipiga ban mwenyewe hadi June 2019!!
Najua mnajaribu kubadili mada hapa baada ya kuaminishwa kwamba Kusaga anamiliki 92% ya share!! Sasa badala ya kuona kumbe mlikuwa mnalishana matango pori, ndo mnataka kuhamisha magoli sasa!!
Ambacho mara zote nilipinga ni hicho cha kusema Joe anamiliki 92%!
Isitoshe, suala la Kusaga na Wasafi, ni juzi tu hapa (kabla ya hilo tangazo la TCRA) nilisema:Unaona sasa! Kabla ya kwenda mbali, kauli yangu hiyo tu inawasuta wale waliosema eti "tulikuwa" tunasema Wasafi ni 100% Diamond! Au "tu" sijui ni akina sijui!
Nikaongeza:Hivi nina haja ya kuendelea kweli hapo?! Lakini ngoja, labda ni hiki ndicho ambacho ulishindwa kunielewa:
Umeona tofauti ya ulichosema na nilichosema?!
Come on man, naamini umenifahamu hapa JF for a long time now, you don't believe I can be that dumb!
Mkuu nimekuelewa sana swali langu mbona apo kwenye tangazo ni hisa za wasafi TV means zipo na za wasafi radio ????? Na kama zipo apo ndio naamini diamond alivyo mjanja anaweza akawa na zaidi ya 50%Ukinionesha post yangu moja TU niliyowahi kusema Kusaga hana share zozote za Wasafi, basi najipiga ban mwenyewe hadi June 2019!!
Najua mnajaribu kubadili mada hapa baada ya kuaminishwa kwamba Kusaga anamiliki 92% ya share!! Sasa badala ya kuona kumbe mlikuwa mnalishana matango pori, ndo mnataka kuhamisha magoli sasa!!
Ambacho mara zote nilipinga ni hicho cha kusema Joe anamiliki 92%!
Isitoshe, suala la Kusaga na Wasafi, ni juzi tu hapa (kabla ya hilo tangazo la TCRA) nilisema:Unaona sasa! Kabla ya kwenda mbali, kauli yangu hiyo tu inawasuta wale waliosema eti "tulikuwa" tunasema Wasafi ni 100% Diamond! Au "tu" sijui ni akina sijui!
Nikaongeza:Hivi nina haja ya kuendelea kweli hapo?! Lakini ngoja, labda ni hiki ndicho ambacho ulishindwa kunielewa:
Umeona tofauti ya ulichosema na nilichosema?!
Come on man, naamini umenifahamu hapa JF for a long time now, you don't believe I can be that dumb!
Toa ushaidi acha kupotosha umma wewe tuwekee hiyo hati ili tujue hisa za kila mtu kam mange alivyoweka ambayo ni tofauti na usemavyo wewe acha figisu hizoooowla nisiende mbali,mmiliki ni kusaga ,kwenye documents za brela tcra anatumia jina la mzee tyson ana asilimia 92,diamond ana 8
majuzi kuna watu wakawa wanasema hii beef ni ya uongo kutengeneza pesa,beef ya uongo halfu watu wengine wakubali kuitwa hawana marinda?
kibali kimefutwa mmeamini sasa?joe kusaga mwenyewe angekuwa serious na clouds tena show ingepigika tu,Joe hana time nao,Ruge anaumwa waliobaki pale wanyonge hakuna mwenye connection,DAB juzi alikuwa anawachora tu kinyongo bado ancho anajua tangu avamie clouds umaarufu wake ulianza kuporomoka pale na shilawadu walivyoendelea kumponda mara ananuka mdomo na miguu
Issue iko hivi kwa wasiojua,clouds media ni mali ya marehemu mzee kusaga kwa hiyo watoto wote akiwemo Joe kusaga wana shares wako watano
Joe akaona baadaye yeye anapiga kazi kubwa at the end of the day kuna kugawana,akaanza juhudi kama kuanzisha clouds international huko dubai wapi aanakula hasara tu na ni mjanja wa kusoma nyakati alianza kuona clouds inavyopoteza mvuto thats why akarukia kwa diamond kutumia jina lake ukweli ni kwamba hela nyingi inaenda kwake
kwa wanaojua ndugu wa Joe,ni wajeuri kwelikweli hata Ruge kuna kipindi alidai apewe share asilimia 5 wakakataa so analipwa mshahara tu kwa hiyo kwa kilichotokea leo nafikiri ndugu zake wamepata LESSON KUBWA SANA,hakuna clouds bila Ruge wala Joe kusaga
Yes jamaa bado ataendela kula share zake clouds lakini haweki nguvu yake pale thats why alihamia dubai nafasi yake ikachukuliwa na Ruge,nafasi ya Ruge ikachukuliwa na seba maganga,nafasi ya seba ikachukuliwa na shaffih dauda
sasa angalia Seba na shaffih dauda walivyopwaya kwenye hii issue ,inasikitisha lakini pia inachekesha sana maana ubaya hawa jamaa waliofanyiaga watu huko nyuma ni mkubwa sana
There you're....Heshima kwako Mkuu chige Salute you!!! Sorry kwa ku_generalise issue ya Timu Dangote kwamba walikuwa wanasema kwamba "Kusaga hana share Wasafi",Wengi mashabiki wa Dangote walitulisha "KASA" ila shukrani kwa kutoa maelezo hakika wakiona comments zako za kukubali kwamba Dangote hamiliki 100% itawafumbua "Brain".
Yah! Kuna wengine hizi kampuni wanapendelea kuzivunja vunja.Mkuu nimekuelewa sana swali langu mbona apo kwenye tangazo ni hisa za wasafi TV means zipo na za wasafi radio ????? Na kama zipo apo ndio naamini diamond alivyo mjanja anaweza akawa na zaidi ya 50%
Laiti kama jf tungekuwa tunakutana kwenye kongamano la kujadili mambo jinsi ya kujikwamua kiuchumi naamini leo hii wote tungekuwa tunamkimbilia MO kwa umbali mfupi sana.Ukinionesha post yangu moja TU niliyowahi kusema Kusaga hana share zozote za Wasafi, basi najipiga ban mwenyewe hadi June 2019!!
Najua mnajaribu kubadili mada hapa baada ya kuaminishwa kwamba Kusaga anamiliki 92% ya share!! Sasa badala ya kuona kumbe mlikuwa mnalishana matango pori, ndo mnataka kuhamisha magoli sasa!!
Ambacho mara zote nilipinga ni hicho cha kusema Joe anamiliki 92%!
Isitoshe, suala la Kusaga na Wasafi, ni juzi tu hapa (kabla ya hilo tangazo la TCRA) nilisema:Unaona sasa! Kabla ya kwenda mbali, kauli yangu hiyo tu inawasuta wale waliosema eti "tulikuwa" tunasema Wasafi ni 100% Diamond! Au "tu" sijui ni akina sijui!
Nikaongeza:Hivi nina haja ya kuendelea kweli hapo?! Lakini ngoja, labda ni hiki ndicho ambacho ulishindwa kunielewa:
Umeona tofauti ya ulichosema na nilichosema?!
Come on man, naamini umenifahamu hapa JF for a long time now, you don't believe I can be that dumb!