Sasa ndio Nimeamini MZIWANDA ni Ndorobo kweli*2

Sasa ndio Nimeamini MZIWANDA ni Ndorobo kweli*2

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,277
Reaction score
8,860
Huyu mtoto anaitwa Mziwanda ni ndorobo wa hatari,Jamaa katoka hapa na demu wake shilole kwenda kufanya show Ubeligiji cha kushangaza kafika kule kazi ni kupiga picha yeye na jukwaa tu(bila mashabiki)
Mnaweza kuingia kwenye account yake Instagram kushuudia vituko.
Nimejiuliza hakupata wahuzuriaji?
Na kama hakupata alikuwa na sababu gani ya kupiga picha na jukwaa tu..??
Maiki yenyewe ya waya tena waya refu kinoma "eti ulaya hahaha...
Nadhani angekula mikausho ingemsaidia zaidi,Baya kuliko yote dogo kaposti "eti amefanya show ya wazungu tupu bila black people hivi ana akili kweli nadhani upo upungufu kwenye ubongo wake
Na anaitaji watu wa kumfanyia matibabu ya ubongo,Binafsi si kujuwa kama huyu Bwa mdogo ni Ndorobo kiasi hiki.Kweli Shilole kazi anayo "Yani mtu anadharau rangi yake mwenyewe dah..kweli ulaya mbinguni kwa baadhi ya watu.
 
Hao jamaa wana tafuta attentions tu.

Hata zile broken wanafanya kusudi

Mkuu hamna namna ya kuteka akili za watu kwa upuuzi kama wa huyu dogo
Zaidi mi naona anajichimbia kaburi lake kisanii!!
 
Kaktika simu yangu nime download jf pekee hii simu ni lg E mia nne
Ukisema tuende kuzitafuta picha ulikuwa huna haja ya kuweka post hapa!!
 
Kaktika simu yangu nime download jf pekee hii simu ni lg E mia nne
Ukisema tuende kuzitafuta picha ulikuwa huna haja ya kuweka post hapa!!

ImageUploadedByJamiiForums1431244053.858078.jpg
 
Kweli kila shetani Na mbuyu wake,Wale wamekutana wote IQ zao zafanana ni malimbukeni sijapata kuona lol!!
 
Back
Top Bottom