Sasa Ndiyo Nimemuelewa Aliyekosoa Ujenzi wa Madaraja ya Juu Mbezi

Sasa Ndiyo Nimemuelewa Aliyekosoa Ujenzi wa Madaraja ya Juu Mbezi

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Awali sikuelewa changamoto zilizopo kwenye madaraja ya juu mbezi, jana jioni nami nilikuwa miongoni mwa walionasa kwenye foleni Mbezi kutokana na wingi wa madari yanayotokea stand ya daladala na yale yatokayo Kimara kuvuka upande wa Magufuli Terminal.

20230127_180503.jpg






 
Back
Top Bottom