Sasa ndo naelewa maana ya fake news.

Sasa ndo naelewa maana ya fake news.

Joined
Sep 23, 2024
Posts
64
Reaction score
43
Kumbe neno fake news lina maana tofauti na wengi tuelewavyo. Inatolewa taarifa yenye ukweli ila Kama anayetakiwa kuwajibika hasipokuwa tayari kuzungumzia inaitwa fake news ,wanaibatilisha na kuwaaminisha watu kuwa ni habari ya uongo wakati ina ukweli. Mfano hii ya wanafunzi mkoa wa Ruvuma kukaa chini ni taarifa yenye ukweli Kuna Shule Za msingi wanafunzi wanakaa chini tena hapa manispaa ya Songea sijui hali ilivyo huko pembezoni mwa mkoa ,.ila bila uoga mtu mwenye manufaa binafsi anasema ni fake news. Kuna Shule Za msingi watoto wetu wanakaa chini na hatuoni jitihada zozote zinazochukuliwa, bila aibu mnapinga ukweli wakati tunaojionea hali ilivyo tunavyoenda kwenye vikao vya Shule kuhimizwa kuchangia Pesa ya chakula basi ipitishwe rasmi moja ya michango Ni mzazi kuchangia Pesa ya dawati au mwanafunzi aende na dawati .Mtoto tangu chekechea hadi anafika darasa la tano hajawahi kukaa kwenye dawati alafu mnasema fake news.
Tunaomba Raisi wetu mama Samia ingilia Kati tuma timu yako ijionee Hali ya uhitaji wa madawati ilivyo, maana inaonesha hata nawe unapewa taarifa Za uongo.
 

Attachments

  • Screenshot_20250209-141800.png
    Screenshot_20250209-141800.png
    407.9 KB · Views: 1
Kumbe neno fake news lina maana tofauti na wengi tuelewavyo. Inatolewa taarifa yenye ukweli ila Kama anayetakiwa kuwajibika hasipokuwa tayari kuzungumzia inaitwa fake news ,wanaibatilisha na kuwaaminisha watu kuwa ni habari ya uongo wakati ina ukweli. Mfano hii ya wanafunzi mkoa wa Ruvuma kukaa chini ni taarifa yenye ukweli Kuna Shule Za msingi wanafunzi wanakaa chini tena hapa manispaa ya Songea sijui hali ilivyo huko pembezoni mwa mkoa ,.ila bila uoga mtu mwenye manufaa binafsi anasema ni fake news. Kuna Shule Za msingi watoto wetu wanakaa chini na hatuoni jitihada zozote zinazochukuliwa, bila aibu mnapinga ukweli wakati tunaojionea hali ilivyo tunavyoenda kwenye vikao vya Shule kuhimizwa kuchangia Pesa ya chakula basi ipitishwe rasmi moja ya michango Ni mzazi kuchangia Pesa ya dawati au mwanafunzi aende na dawati .Mtoto tangu chekechea hadi anafika darasa la tano hajawahi kukaa kwenye dawati alafu mnasema fake news.
Tunaomba Raisi wetu mama Samia ingilia Kati tuma timu yako ijionee Hali ya uhitaji wa madawati ilivyo, maana inaonesha hata nawe unapewa taarifa Za uongo.
Na mimi nipo hapa Suruti naangalia hali za shule zenu.Nikitoka hapa naenda Matimila.
 
Ss km darasa halina madawati ,je huyo mwalimu atakuwa kweli na nyumba nzuri yakuishi 🤔🤔

Ila CCM daaaa nisikio la kufaaa...
 
Kuna shule hapa hapa Mwanza mjini wilaya ya nyamagana ,kanindo primary mbona wanafunzi wanakaa chini ama mpka picha kabisa na watt wakiulizwa maswali wajibu kuwa wao wako wapi, wanasiasa ni majambazi tu Kama akina mwamposa, hakuna anayependa kukuletea manufaa Bali yyey mwenyewe
 
Back
Top Bottom