Sasa nguruwe wanaenda kuiangamiza dunia

haramu kwa mujibu wa imani gani?

kumbuka kila mtu ana imani yake mkuu
 
haramu kwa mujibu wa imani gani?

kumbuka kila mtu ana imani yake mkuu
Ni kweli,
Kwa mujibu wa kitabu cha KUMB LA TORATI 14;8 imeeleza, na ukitaka kuelewa zaidi anzia mstari 3-8

Nadhani nitakuwa nimekujibu vyema mkuu.

Huyu mnyama hajakatazwa kwa baadhi ya dini hii na kuruhusiwa na dini ile
Bali ni kwa binadamu wote wenye IMANI katika Mungu mmoja.
 
Uongo, uongo, uongo, uongo. Unapotea kwasababu hujui maandiko.
Matayo 22:29
 
Una uhakika Mungu unayemwabudu na sisi tunamuabudu?
 
Uongo, uongo, uongo, uongo. Unapotea kwasababu hujui maandiko.
Matayo 22:29
Usikurupuke mkuu kuniambia ni muongo bila kuwa na ushahidi wako, hiyo torati iko wazi hata babu yako anaijua
Hilo andiko la mathayo uliloainisha lilizungumzia kwa habari ya UFUFUO, kuwa mtulivu
 
Kitimoto to the world

Kitimoto for everybody.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…