Sasa ni dhahiri, katiba mpya ni mwiba kwa Wakenya!

Sasa ni dhahiri, katiba mpya ni mwiba kwa Wakenya!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Matatizo ya kuvamia na kuiga mifumo ya walami bila upembuzi yakinifu yanadhihirika sasa.

Nchi tuliyoambiwa imepiga hatua mbele katika kufuata demokrasia sasa inaumbuka na inashindwa kujinasua kwenye sakata la maandamano.

Tuliaminishwa vurugu zingeweza kuondoshwa na uwepo wa katiba mpya lakini badala yake tunajionea vurugu zaidi na kutotawalika kwa nchi ya Kenya.

N.B rejea vurugu baada ya uchaguzi ,utekaji wa kiongozi wa Tume ya uchaguzi,uchomaji mashamba ya familia ya Kenyata na sasa maandamano yenye vurugu.

Pia Soma: LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
 
Matatizo ya kuvamia na kuiga mifumo ya walami bila upembuzi yakinifu yanadhihirika sasa.
Nchi tuliyoambiwa imepiga hatua mbele katika kufuata demokrasia sasa inaumbuka na inashindwa kujinasua kwenye sakata la maandamano.
Hilo halihusiani na katiba, linahusiana na jamii ya wakenya, is what happen unapokuwa na jamii iliyoelimika zaidi, jamii ina graduates wengi zaidi halafu nafasi hamna. Lakini pia hata wanachokipata bado kinabanwa.

Jamii kama hii si salama sana kwa wana siasa, si rahisi kuwasokota maana wana uelewa wa mambo
 
Katiba Mpya, Chama kipya, Uongozi Mpya, Nchi mpya.
 
Hilo halihusiani na katiba, linahusiana na jamii ya wakenya, is what happen unapokuwa na jamii iliyoelimika zaidi, jamii ina graduates wengi zaidi halafu nafasi hamna. Lakini pia hata wanachokipata bado kinabanwa.

Jamii kama hii si salama sana kwa wana siasa, si rahisi kuwasokota maana wana uelewa wa mambo
Uelewa wa mambo wkt sasa wanaanza kuvamia biashara na kuharibu mali
 
Hilo halihusiani na katiba, linahusiana na jamii ya wakenya, is what happen unapokuwa na jamii iliyoelimika zaidi, jamii ina graduates wengi zaidi halafu nafasi hamna. Lakini pia hata wanachokipata bado kinabanwa.

Jamii kama hii si salama sana kwa wana siasa, si rahisi kuwasokota maana wana uelewa wa mambo
Wasomi wengi hawajaanza kuwepo miaka hii hapo kenya ...usitupige kamba.
Nigeria na Kenya wapi kuna wasomi wengi?
 
Kwa mazingira ya Africa na Mwafrika especially Tanzania nchi isiyojitambua ukiondoa uhitaji wa katiba au bila hata uwepo wa hiyo katiba kunatakiwa kuongozwa na watu nusu wendawazimu nusu wazima yaani wasiotambulika watakachofanya kesho eg:Magufuli Ghadaf Kagame.

Mfano leo tuna kiongozi mwanamke mambo yamekaa shaghabala baghala watu wameteuliwa kwenye nafasi zao hawazisimamii inavyotakikana zaidi wamegubikwa na ufisadi yaani lipo ombwe kubwa la uongozi kwenye wizara zinazosimamia masuala ya kitaifa lakini aliyewateuwa yupo kimyaa kama hakuna kinachoendelea
 
Matatizo ya kuvamia na kuiga mifumo ya walami bila upembuzi yakinifu yanadhihirika sasa.
Nchi tuliyoambiwa imepiga hatua mbele katika kufuata demokrasia sasa inaumbuka na inashindwa kujinasua kwenye sakata la maandamano.
Mtu mweusi huwa hakubali kushindwa uchaguzi na hasa anaposhindwa kwa kura chache. Rejea Africa kusini Zuma chama chake kimefanya vizuri katika uchaguzi hata kushangaza watu lakini bado anadai kaibiwa kura , hivi kama ANC wangekuwa na uwezo wa kuiba si wangeiba ili wafikishe asikimia 50 waunde serikali peke yao?

Kenya walitengeneza katiba kwa jazba baada ya vurugu za mwaka 2007 na kwa katiba yao kila taasisi ina sharubu ndio maana mahakama imegeuka kuwa mtawala vyombo vya habari vinatangaza uchochezi wa ghasia kwa sababu serikali haina nguvu sana ya kusimamia i.e overall authority.

Dawa ya hao wahuni wanaoandamana na kufanya fujo ilitakiwa wale shaba za kutosha hata wakifa maelfu sawa tu. Ni bora maelfu wafe nchi ibakie salama.

Kama hao wahuni wanakubalika wangesubiri uchaguzi ujao wamtoe Ruto kwa kura.

Kama kenya yenye uchaguzi huru na wa haki kuliko nchi yeyote africa mashariki hawaheshmu matokeo ya uchaguzi maana yake ni heri wangebaki na katiba yao ya zamani.

Ngoja wabomoe nchi yao wakimaliza kubomoa wataijenga upya kwa kukatwa kodi zaidi na mikopo zaidi itakayowaumiza zaidi.

Bkack person is a monkey of higher calibre
 
Unavyoelewa Neno Demokrasia unaelewa vipi?

Ndio hivo kwamba kila mtu ana haki ya kufanya jambo lolote bila kuguswa.

Nyie Ccm kwa kujua uchafu wenu na Bibi enu huyo Mpemba mnaogopa maana mnaelewa tutaua hadi wajukuu zenu wa Kizimkazi huko.
 
Kwako wewe unaona jinsi Tz inavyoendeshwa ndiyo sawa? Katiba ndiyo injini ya nchi. Ikiwa inawapendelea watawala, wananchi lazima muishi kama kondoo. Chochote watafanya na kusema nyinyi ni kufuata tu.

Wenzetu wamevuka huko, Mahakama ina makali, inaweza kuikemea Serikali. Hapa huwezi ona hilo, utasema tuna muhimili mmoja tu, mingine ni matawi ya chama na serikali.
 
Matatizo ya kuvamia na kuiga mifumo ya walami bila upembuzi yakinifu yanadhihirika sasa.

Nchi tuliyoambiwa imepiga hatua mbele katika kufuata demokrasia sasa inaumbuka na inashindwa kujinasua kwenye sakata la maandamano.

Pia Soma: LIVE - Yanayojiri Maandamano Kenya: Waandamanaji wafika Bungeni, wawili wauawa kwa risasi
Umeongea jambo la maana ambalo wamekuwa wakiambiwa, huwezi kucopy paste katiba ya marekani uilete Kenya halafu uwe salama. Kila mtu ana sharubu sasa nchi inakwenda kusambaratika
 
Hilo halihusiani na katiba, linahusiana na jamii ya wakenya, is what happen unapokuwa na jamii iliyoelimika zaidi, jamii ina graduates wengi zaidi halafu nafasi hamna. Lakini pia hata wanachokipata bado kinabanwa.

Jamii kama hii si salama sana kwa wana siasa, si rahisi kuwasokota maana wana uelewa wa mambo
Unaongea kama konki master Dudu Baya😎
 
Unavyoelewa Neno Demokrasia unaelewa vipi?

Ndio hivo kwamba kila mtu ana haki ya kufanya jambo lolote bila kuguswa.

Nyie Ccm kwa kujua uchafu wenu na Bibi enu huyo Mpemba mnaogopa maana mnaelewa tutaua hadi wajukuu zenu wa Kizimkazi huko.
Hiyo demokrasia inayoyumbisha Taifa inasaidia nini?
 
Kwako wewe unaona jinsi Tz inavyoendeshwa ndiyo sawa? Katiba ndiyo injini ya nchi. Ikiwa inawapendelea watawala, wananchi lazima muishi kama kondoo. Chochote watafanya na kusema nyinyi ni kufuata tu.

Wenzetu wamevuka huko, Mahakama ina makali, inaweza kuikemea Serikali. Hapa huwezi ona hilo, utasema tuna muhimili mmoja tu, mingine ni matawi ya chama na serikali.
Lengo la kutoa nguvu kwa mamlaka mbalimbali limesaidia nini?
Hao Gen Z wamechoma bunge kisa limefanya kazi yake....lakini wakachoma mahakama na sasa wanadhihaki Government.
Nilitegemea uwepo wa katiba mpya ungeondosha vurugu zilizokuwepo kabla ya madai ya katiba mpya badala yake imeleta maandamano ya kihistoria.
 
Hilo halihusiani na katiba, linahusiana na jamii ya wakenya, is what happen unapokuwa na jamii iliyoelimika zaidi, jamii ina graduates wengi zaidi halafu nafasi hamna. Lakini pia hata wanachokipata bado kinabanwa.

Jamii kama hii si salama sana kwa wana siasa, si rahisi kuwasokota maana wana uelewa wa mambo
Issue si graduate wengi, ni kujielewa tu.

Tz malecturers ndio wanaongoza kwa uchawa, graduates wanahimizana kujiunga UVCCM...
 
Yanayofanyika Kenya ndio kukomaa kwa demokrasia lakini kwa nchi iliyojaa wajinga, wanafiki, waoga na mafisadi kama Tanzania hata wakiamka kesho wakute sukari kilo shilingi 20,000/- na mafuta petroli na dizeli bei hiyohiyo ndipo watashindana kwenye vyombo vya habari kumsifia mama kama kiongozi wa kipekee duniani.

Jomo Kenyatta (Rip) aliwahi kusema kwamba yeye alikuwa akitawala wagonjwa nchini kwake Kenya wakati Nyerere alikuwa akitawala maiti nchini kwake Tanzania hivyo hadi leo tunaona ukweli wa kauli ya marehemu Kenyatta enzi ya uhai wake.
 
Back
Top Bottom