Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
π¦ππ¦π π‘π π‘ππ¨π π¨ π πͺπππ ππ¨πͺπππ ππ¨πππ π ππ¨ ππ¨ππ¨π§π π©ππ§π¨ ππͺππ‘π¬π π¦ππ π¨ π¬πππΌ
Watu wengi walikua wakiibiwa simu zao mwanzoni wezi walikua wanakua na uwezo wa kufuta Kila kitu kwenye simu kwa urahisi.
Lakini Sasa kampuni ya Google inayomiliki mfumo wa android wameweka mfumo mpya wa kuongeza ulinzi kwenye simu za android.
Kuna feature inaitwa "identity check" ni feature mpya ambayo mtumiaji wa simu za android ataweza kuzuia simu yake kufutwa Ikitokea imeibiwa au kupotea, kwani bila password, passkey, pin mtu hatoweza kufuta akaunti.
Feature hii ya identity check simu itahitaji Alama ya kidole au uso (biometric system) ili kuweza kuthibiitisha mabadiliko makubwa kwenye simu kama vile kubadili password ya simu,kufuta akaunti ya simu, kuona password, passkey pamoja na kuzima find my device.
Mfumo huu umewekwa ili kuweza kumzuia mwizi Kufanya badiliko lolote kwenye simu yako Ikitokea imeibiwa au kupotea kwani atokuwa na password au Alama ya kidole chako hivyo kushindwa kufuta na kuzima simu yako.
Mabadiliko haya yanapatikana kuanzia android version 12 mpaka 15 unachotakiwa ni kuingia setting kwenye simu yako kisha >> Google >> All Service>> theft protection >> identity chec
k weka on.
Watu wengi walikua wakiibiwa simu zao mwanzoni wezi walikua wanakua na uwezo wa kufuta Kila kitu kwenye simu kwa urahisi.
Lakini Sasa kampuni ya Google inayomiliki mfumo wa android wameweka mfumo mpya wa kuongeza ulinzi kwenye simu za android.
Kuna feature inaitwa "identity check" ni feature mpya ambayo mtumiaji wa simu za android ataweza kuzuia simu yake kufutwa Ikitokea imeibiwa au kupotea, kwani bila password, passkey, pin mtu hatoweza kufuta akaunti.
Feature hii ya identity check simu itahitaji Alama ya kidole au uso (biometric system) ili kuweza kuthibiitisha mabadiliko makubwa kwenye simu kama vile kubadili password ya simu,kufuta akaunti ya simu, kuona password, passkey pamoja na kuzima find my device.
Mfumo huu umewekwa ili kuweza kumzuia mwizi Kufanya badiliko lolote kwenye simu yako Ikitokea imeibiwa au kupotea kwani atokuwa na password au Alama ya kidole chako hivyo kushindwa kufuta na kuzima simu yako.
Mabadiliko haya yanapatikana kuanzia android version 12 mpaka 15 unachotakiwa ni kuingia setting kwenye simu yako kisha >> Google >> All Service>> theft protection >> identity chec
k weka on.