sasa ni rasmi: babu wa samunge ni bilionea!!

wabongo sijui lini tutaacha kuwa mijinga..
Wanashangaza sana Mkuu!
Wanapiga hesabu za hela za wengine badala ya kutafuta zao!
Kinachofuata hapo ni majungu na Uswazi mitaani...simple minds
 
Ha ha haaaaaaaaaaa! Anataka kuwa mshika mafao mkuu! Anajiuliza saa hii angekuwa mrs Mwasapile angekuwa ana ngapi kama babu anazo hizo!
Mkuu,
Kuna aliyeshikwa masikio kwenye thread yake kule, tunamhurumia huyo bwana!
Babu yuko makini bana, hawezani na wababaishi!
 

ni lini babu alikutangazia anatibu figo?
 
Sio ajabu mganga wa kienyeji kuwa bilionea kwani wajinga ndio waliwao!
Tunaongelea Mchungaji Mwasapile wa Samunge broda!....are we together?
Mambo ya waganga wa kienyeji unayalokota wapi?
Come to the pertinent subject....right?
 
Mtoto wacha kupiga mayowe,waache wayaone wenyewe!
We mtoto wacha kupiga mayoe waache wayaone wenyewe!

Miss judith wapotezee hawa!wameingizwa mjini na hawataki kukubali.iko siku watakukumbuka hata DECI walikataa hivi hivi!
 

PakaJimmy..umetumia busara kunijibu...Amina!!sasa hivi nimeshaongea na muhasibu wa ubalozini India..Mr Yahya naona atanisaidia sana kwa hili. Namuombea afya njema Anko angu

Infact hii kitu sio upotoshaji bali nimemchukulia anko kama reference, kwamba dawa ya badu haijamtibu...kama wengine imewatibu basi Innshhallah wamepona!!
 
Mtoto wacha kupiga mayowe,waache wayaone wenyewe!
We mtoto wacha kupiga mayoe waache wayaone wenyewe!

Miss judith wapotezee hawa!wameingizwa mjini na hawataki kukubali.iko siku watakukumbuka hata DECI walikataa hivi hivi!
U will wait for your favorable aftermath on this matter for centuries , but too bad, its going to be in vain!
Mungu siye Othman bana!
 

Which is which...!


Watapatikana wengi na kupukutika wengi sana mwaka huu.
 

PakaJimmy..umetumia busara kunijibu...Amina!!sasa hivi nimeshaongea na muhasibu wa ubalozini New Delhi-India..Mr Yahya naona atanisaidia sana kwa hili. Namuombea afya njema Anko angu

Infact hii kitu sio upotoshaji bali nimemchukulia anko kama reference, kwamba dawa ya badu haijamtibu...kama wengine imewatibu basi Innshhallah wamepona!! Kama kukiuka masharti sidhani sema labda aichokosea ni kwamba kabla ya kwenda samunge angeenda medical kwanza, lakini sidhani kama baada ya kikombe kuna masharti tena.
 

hospitali ya muhimbili?
Mbona sijasikia hii.kweli kipenda roho...
 
Aksante sana broda kwa kujifunza!
Pia pole kwa mihangaiko ya kumpeleka Anko India...Wengine imani zinatufunza kuwa "Maisha ya binadamu ni mafupi na yamejaa taabu!"
Hivyo usitaabike sana moyoni na hili, ndiyo maisha kaka!
Niwakilishie pole zangu kwa mgonjwa!
 

Zimefika...tuko pamoja!!
 
Which is which...!



Watapatikana wengi na kupukutika wengi sana mwaka huu.

.
Eeh kweli watapukutika wengi mwaka huu. Si unaona Osama alivyowatangulia?
.
 
Which is which...!



Watapatikana wengi na kupukutika wengi sana mwaka huu.
M,kuu wangu X-Paster,
Naweza kukuunganisha toka Zanzibar hadi Samunge na Ukarudi Zenji same day!
Ni matter ya mafao mfukoni mwako tu!...ha ha haaaa!
Hayo mambo ya kusubiri utasubiri sana hadi dahari, usione kitu!
 

Rafiki naomba kusikia ushuhuda wako maana kumbukumbu yangu inaniambia wewe ni mmoja walioenda kwa babu kupata kikombe cha uzima. Vipi mambo yako yako safi ama? Tunaomba ushuhuda jamani maana hata mamajusi walipoiona ile nyota yake waliifuata ikatua nyumbani aliko Yesu nao walishuhudia kuwa nikweli mtoto amezaliwa na wamemwona kwa macho yao. Kwa ushuhuda wako wengi watapona! Ukisema kweli na kweli tupu Mungu aonaye sirini atakujazi.
 

Kuna kunukuliwa vibaya. Vikombe ni 300,000 kwa hiyo ni sh 150 milioni. Ukisoma story ya Majira kuna tofauti. Ukilinganisha na fedha zilizopatikana mwezi mmoja uliopita (mil 50 kwa miezi 6) hakuna uhalisia kufikia 1.5 bilioni.sasa
 
Kuna kunukuliwa vibaya. Vikombe ni 300,000 kwa hiyo ni sh 150 milioni. Ukisoma story ya Majira kuna tofauti. Ukilinganisha na fedha zilizopatikana mwezi mmoja uliopita (mil 50 kwa miezi 6) hakuna uhalisia kufikia 1.5 bilioni.sasa
Miss Judith yuko manual zaidi kuliko kufikiria uhalisia wa data ANAZOOKOTEZA.
Anasoma na kusikia kwenye redio zinazoishia MAGOMENI, na kukimbilia kubandika conclusive informatio!

How pity!...sijui ni kukanganyikiwa!
 
Reactions: LAT
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…