sasa ni rasmi: babu wa samunge ni bilionea!!


Mkuu nimekukubali ila umesahau kuwa hagawi kikombe kwa 24 hrs bali masaa takriban 10 tu.
 
<br />



Sawasawa Mkuu,Nadhani kuna tatizo binafsi kati ya Miss na Huyu Paka,There has to be somethings that we dont understand!!
Lakini zaidi,UTETEZI wake wa Tiba ya Babu ni MKUBWA mpaka unanishangaza,nahisi kuwa na fikra mbilimbili kuhusu Uhusiano wake yeye Paka Jimmy na Huduma ya Babu!!
Being sour,Cynical,constantly nagging and criticising other contributors doesnt necessarily establish that one is a great thinker!!!
Wakati Mwingine Unapiga Kimya tu,Ndiyo Kiume!!
 
babu wa samunge ameleta miujiza,kwa kusikia na kuona ndugu wanaokwenda huko,ila mpaka leo hata ndugu zangu wanasema wanajisikia vizuri.
ila hamna kati ya wanao jiskia vizuri ameshatoa uhakika wa ki-hostpitali kuwa vipimo vimeonyesha kupona kabisa.

nashindwa kuelewa babu mpaka leo amepata wageni milioni3,lakini ktk wote hawa hamna aliyetoa majibu Rasmi ya hosptiali kuwa ameponyeshwa na babu wa samunge
 

mkuu, nikuweke sawa hapo kwenye bold,

kwa mujibu wa ufahamu wangu binafsi, sina tatizo lolote la binafsi na huyu mheshimiwa. hata siajawahi kuonanan naye hata siku moja na sifahamiani naye kwa namna yoyote zaidi ya namna ninavyowafahamu wengine hapa JF, kama kuna tatizo basi mniwie radhi ila mimi kiukweli kila ninalochangia hapa nafanya kama wengine wanavyochangia tu na huwa simlengi yoyote, ikitokea nataka kumwambia mtu kitu huwa natumia PM tu, nikiweka wazi jua ni kwa wote tupate kujadiliana au kusaidiana kwa kuwa "sharing is caring", basi na si zaidi ya hapo

unavyoshangaa ndivyo hata mimi ninavyoshangaa!

ubarikiwe sana
 

pole sana dada yangu, ............... huyu PJ hata mimi namshangaa sana, toka alipoibuka babu mwenye kikombe, amekuwa mtu hatari sana, ukimkosoa babu tu anakumeza................. nimeishaona mwnendo wake kwa kweli ni mtu hatari.................... lakini nakuomba mpendwa cool down, akiropoka wewe potezea tu........... huna utakachopoteza, huyu na babu nahisi wana ka-ubia fulani na kwa vyovyote vile huyu jamaa anaufaika na hii biashara ya babu! haiwezekani akawa hata tayati kukosana na watu eti kwa sababu ameizimikia tiba ya kikombe ....................... hahah................. ingekuwa hivyo angekwishageuzwa na wajanja upande a pili kama kibua cha mombasa!!!.................. hahah............... au tayari???................... hahahahaaaaaaaaaaa................. mi simo, napita tu wakuu................
 
Ukiwa na bilioni 1.5 ni billionaire? Kwanza mzee anachukua sh.100 kwa kichwa. Hivyo kwa idadi hiyo atakuwa kapata million 300.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…