Ni kweli kabisa walipoteza muda sana kushabikia siasa za wapuuzi kama LemaHuwezi kuweka nguvu kwa watu waliokwisha kombolewa. Moshi na Arusha siyo sawa na CHATO
wajanja wa A town wameshawashtukia
Nenda pale kwenye kaburi la magufuli ukifika taja jina la lema. Uone kama hata tikisika huko alikolala na kuozaNi kweli kabisa walipoteza muda sana kushabikia siasa za wapuuzi kama Lema
Imedhibiti kwa mapingamizi ama kwa nini?Baada ya kuona makamanda wameikimbia ngome yao muhimu kama Moshi na Arusha wakati wa ufunguzi wa kampeni basi hii ni ishara rasmi kuwa CCM imedhibiti vilivyo ngome hii.
Ndio maana Mbowe kaanzia Mbeya na Lissu kaanzia Singida huku Lema hasikiki yupo wapi haswa
Huna haki ya kuwapsngia CDM pa kuanzia. Vipi legacy yenu bado ipogo au ishakufaga?Baada ya kuona makamanda wameikimbia ngome yao muhimu kama Moshi na Arusha wakati wa ufunguzi wa kampeni basi hii ni ishara rasmi kuwa CCM imedhibiti vilivyo ngome hii.
Ndio maana Mbowe kaanzia Mbeya na Lissu kaanzia Singida huku Lema hasikiki yupo wapi haswa