Sasa ni wazi: Sifa ya kuwa mchambuzi wa soka hapa Tz ni kumiliki mdomo!

Sasa ni wazi: Sifa ya kuwa mchambuzi wa soka hapa Tz ni kumiliki mdomo!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Nianze kwa kuwaomba radhi wachambuzi wachache sana wa ukweli wa soka hapa bongo, hususan Ally Mayai Tembele. Hili bandiko haliwahusu wao.
Hili bandiko linawahusu makanjanja lukuki yanayojiita wachambuzi wa soka wakati hawajawahi hata kucheza soka!!
Hili kundi kubwa la wachambuzi wa soka makanjanja wanadhani kuwa sifa kuu ya kuchambua soka ni kuwa na MDOMO na kujua kuutumia basi!! Kwenye kundi hili wamo akina Geoff Leah na wenzake. Karibuni tuwaumbue hapa wachambuzi makanjanja wa soka ambao hawajawahi hata kucheza soka la maana!! Wanaharibu Sana mpira Hawa!
 
Naomba niwalaumu pia watu ambao Wana sifa ya kuchambua soka lakini wamekaa pembeni na kuwaachia nafasi makanjanja Hawa!!
Watu Kama kina Sunday Manara, Zamoyoni Mogela, Boniface Mkwasa, nk wangeweza kufanya hii kazi ya kuchambua soka kwa weledi zaidi.
Nimpongeze Ally Mayai Tembele ambaye pamoja na kwamba anafahamika alikuwa anachezea Yanga, lakini linapokuja suala la uchambuzi wa soka, anazingatia weledi kuliko unazi. Na hiyo ni sifa muhimu Sana kwa mchambuzi wa soka. Mtu ambaye hajawahi kucheza mpira katika kiwango Cha juu ataishia kutuonesha unazi wake tu maana Hana ujuzi wa kulichambua soka!
 
Wachambuzi kama mashabiki jinsi tunavyobishana mtahani...
Screenshot_20220418-163349_Twitter.jpg
 
Nianze kwa kuwaomba radhi wachambuzi wachache sana wa ukweli wa soka hapa bongo, hususan Ally Mayai Tembele. Hili bandiko haliwahusu wao.
Hili bandiko linawahusu makanjanja lukuki yanayojiita wachambuzi wa soka wakati hawajawahi hata kucheza soka!!
Hili kundi kubwa la wachambuzi wa soka makanjanja wanadhani kuwa sifa kuu ya kuchambua soka ni kuwa na MDOMO na kujua kuutumia basi!! Kwenye kundi hili wamo akina Geoff Leah na wenzake. Karibuni tuwaumbue hapa wachambuzi makanjanja wa soka ambao hawajawahi hata kucheza soka la maana!! Wanaharibu Sana mpira Hawa!
 
Mkuu mtoe Ambangile kwenye list ya wachambuzi uchwara! Kuna hii Hance Raphael na George Job zinajikuta much know sana.

Nasikitika sana kama hiyo kenge maji Hance Raphael kusema imereview zaidi ya mara tano lile tukio eti haikuwa penalty.

Ifike kipindi mtuombe radhi wapenda soka la hii nchi.
 
Unasema kweli mkuu,
Mpira ni rahisi sana kuuchambua kama umeuishi na upo specific(aina moja ya mpira).
Mchambuzi kama,
-Ally Mayay, Tembele(mpira wa miguu), ameucheza na anauchambua.
-Amri Kiemba,(mpira wa miguu), ameucheza na anauchambua.
-Kotinyo(Basketball) - Ila akichambua mpira ana unazi sana hasa Liverpool, nk
Hawa watakuwa wachambuzi bora Sana,

ILA, Hilo kundi
-Jeff Leah = Mimi naona n mjuaji Sana, anajikuta kila aina ya mchezo anajua kuchambua, pia ni mshabiki Sana wa Ligi la Afrika kusini, hivo anaongea kama mnaz wa Ligi hiyo anasahau kuongea fact.
.Unajua nini, siku zote timu inapofungwa, haikosi sababu. Kama tu Bayern Munc alipata sababu alipo drw na Villa sembuse Olarndo ??
- priva(mlamba midomo), hakuna mtu pale
Nawengine wengi.
 
Nianze kwa kuwaomba radhi wachambuzi wachache sana wa ukweli wa soka hapa bongo, hususan Ally Mayai Tembele. Hili bandiko haliwahusu wao.
Hili bandiko linawahusu makanjanja lukuki yanayojiita wachambuzi wa soka wakati hawajawahi hata kucheza soka!!
Hili kundi kubwa la wachambuzi wa soka makanjanja wanadhani kuwa sifa kuu ya kuchambua soka ni kuwa na MDOMO na kujua kuutumia basi!! Kwenye kundi hili wamo akina Geoff Leah na wenzake. Karibuni tuwaumbue hapa wachambuzi makanjanja wa soka ambao hawajawahi hata kucheza soka la maana!! Wanaharibu Sana mpira Hawa!
Yule privadinho ndio mchambuzi wa hovyo kuwahi kutokea Tanzania kila siku anabishana na wenzake kwenye kipindi kichwa box empty kabisa hajui takwimu wala mpira upo vipi yeye kazi yake kubishana na kina edger na amri kiemba pamoja na shafii dauda privadinho kama upo humu rudi kwenye fani yako ya uanasheria huku kwenye hakuna unachokijua.
 
Ila huyo Hance ndio takataka kabisa, tokea aingie wasafi ndipo nilipo acha kuisikiliza hiyo radio
Mkuu mtoe Ambangile kwenye list ya wachambuzi uchwara! Kuna hii Hance Raphael na George Job zinajikuta much know sana.

Nasikitika sana kama hiyo kenge maji Hance Raphael kusema imereview zaidi ya mara tano lile tukio eti haikuwa penalty.

Ifike kipindi mtuombe radhi wapenda soka la hii nchi.
 
Huyo Leah ndo takataka kabisaaa! Mnafiki na mpuuzi Sana. Nahisi huyu jamaa huwa ana tu homoni twa kike.
Mkuu usione hzo chuki zote za wachambuzi wengine wanaona ile nafasi ya Ahmad ali walistahili wao kwa hyo kama wameshindwa kuipata wao waliona wanastahili sasa hivi ndio kuponda kila kitu cha simba kiwe nje au ndani ya uwanja.
 
Bongo wachambuzi ambao wanakupa facts na wanajua wanachozungumza ni wawili tu ally mayay na amri kiemba huku George ambangile akifuata kwa ukaribu.Wengine hapo ni mashabiki tu.Jeoff Leah ana data na anafuatilia michezo mbalimbali pia ni mshabiki mkubwa wa Manchester United,bafana bafana(south Africa), Orlando pirates na England national team,ni mnazi haswa wa ligi ya south Africa na utamaduni wao ila tatizo lake moja tu,ana ujuaji kupitiliza.
 
Back
Top Bottom