Hapo sasa je ameshaatengeneza hvyo viwanda mbadala au ni kuwaimiza wamarekani maana nona kama mfumuko wa bei usio kuwa na kifaniBaada ya China, Mexico na Canada kushughulikiwa sasa ni zamu ya umoja wa Ulaya kuongezewa tarrifs na utawala wa Trump.
View: https://x.com/spectatorindex/status/1886132546020458812?t=lSz05YZkp1XveIK9-MGxVQ&s=19
Eu ni kama makomdoo tu labda kitoke hiki kizazi cha akina macron olef schoes wakijakushtuka kila kitu kimepotea na hawawezi kurudi nyumaEU waondoe vikwazo kwa urusi,waishi nae kidugu kama mwana ulaya mwenzao,ikiwezekana wsmuingize EU
Kwa ulaya amebugi marekani haina uwezo wa kuikoromea ulayaBaada ya China, Mexico na Canada kushughulikiwa sasa ni zamu ya umoja wa Ulaya kuongezewa tarrifs na utawala wa Trump.
View: https://x.com/spectatorindex/status/1886132546020458812?t=lSz05YZkp1XveIK9-MGxVQ&s=19
We urusi hana cha kuwasaidia ulaya hata mchina mwnyw faida anayopata kuwa na marekani ni kubwa kuliko kuwa na urusiEU waondoe vikwazo kwa urusi,waishi nae kidugu kama mwana ulaya mwenzao,ikiwezekana wsmuingize EU
Wewe huna akili timamu wewe hvi unajua ulaya inalindwa na marekani hujui hata china ni heri ampoteze urusi kuliko kumpoteza marekani kwny uchumi wakeKwa ulaya amebugi marekani haina uwezo wa kuikoromea ulaya
Huna ujualo weweWe urusi hana cha kuwasaidia ulaya hata mchina mwnyw faida anayopata kuwa na marekani ni kubwa kuliko kuwa na urusi
Wewe ndio huna akiliWewe huna akili timamu wewe hvi unajua ulaya inalindwa na marekani hujui hata china ni heri ampoteze urusi kuliko kumpoteza marekani kwny uchumi wake
Kwanza kabisa HUNA AKILI WEWE! unaijua ulaya lakini? Au unaropoka tu? Uvumbuzi wa vitu karibia asilimia 80 vimevumbuliwa ulaya, unaijua gdp ya ulaya combined? Unajua asili ya wazungu ni wapi?Wewe huna akili timamu wewe hvi unajua ulaya inalindwa na marekani hujui hata china ni heri ampoteze urusi kuliko kumpoteza marekani kwny uchumi wake
Narudia tena huna akili timamu ww jimbo 1 tu la marekani linauzdi uchumi wa urusi yote muulize mchina akiambiwa achague kufanya biashara na ulaya au marekani au urusi atachagua nani fala ww kama ulaya ni powerful hvyo si ajichomoe kwa marekani unadhan trump ni fala hajui anachokfanya au siyoKwanza kabisa HUNA AKILI WEWE! unaijua ulaya lakini? Au unaropoka tu? Uvumbuzi wa vitu karibia asilimia 80 vimevumbuliwa ulaya, unaijua gdp ya ulaya combined? Unajua asili ya wazungu ni wapi?
Niambie ww unachojua urusi zaidi ya gas ana nn kngne cha kuoffer ulaya kumzdi marekani ukapimwe mkanda wa jeshi wwHuna ujualo wewe
Kwanza kabisa Fala ni wewe na waliokuzaa na wote hamna akili pimbi wewe! Matusi nayajua vizuri sana usipo heshima jiandae kunyooshwa kumer wewe!Narudia tena huna akili timamu ww jimbo 1 tu la marekani linauzdi uchumi wa urusi yote muulize mchina akiambiwa achague kufanya biashara na ulaya au marekani au urusi atachagua nani fala ww kama ulaya ni powerful hvyo si ajichomoe kwa marekani unadhan trump ni fala hajui anachokfanya au siyo