Captain Fire
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 2,435
- 5,000
Wewe kweli hamnazo na kama una watoto naamuru wauliwe wote kupunguza kuenea kwa vilaza nchiniWewe huna akili timamu wewe hvi unajua ulaya inalindwa na marekani hujui hata china ni heri ampoteze urusi kuliko kumpoteza marekani kwny uchumi wake
MmmhKwa ulaya amebugi marekani haina uwezo wa kuikoromea ulaya
Nishati,unajua bei wanayonunulia gesi ya USA?We urusi hana cha kuwasaidia ulaya hata mchina mwnyw faida anayopata kuwa na marekani ni kubwa kuliko kuwa na urusi
Wakifanya hivyo Trump anafunga soko la bidhaa za Ulaya huko Marekani. So Ulaya watazalisha ila mteja mkubwa wanayemtegemea hanunuiEU waondoe vikwazo kwa urusi,waishi nae kidugu kama mwana ulaya mwenzao,ikiwezekana wsmuingize EU
Mpk wanakubali kununua bs ujue wanamaslahi makubwa na marekani kuliko urusiNishati,unajua bei wanayonunulia gesi ya USA?
Hakuna maslahi,bifu tu za kijinga, macron ashagusia sana urusi aingie EUMpk wanakubali kununua bs ujue wanamaslahi makubwa na marekani kuliko urusi
Mnatukanana kisa nchi za watu wengine kabisa..!!!duh,Africans !tyumbavu kabisaWewe ndio huna akili
Sa wanasubiri nn kumuingiza ?Hakuna maslahi,bifu tu za kijinga, macron ashagusia sana urusi aingie EU