Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Sasa umeamini vipi kwamba mnatamani vinavyofichwa fichwa kama tusipoficha bado mnatamani?
Sasa umeamini vipi kwamba mnatamani vinavyofichwa fichwa kama tusipoficha bado mnatamani?
kwani sie hatufichi?
Mmmmhhhh, jamani mmatumbi akiacha tumbo na kitovu nje patakalika kweli? Tusisahau kwamba weusi wana maumbo tofauti na mataifa mengine. Ukiona tak... ni tak.. kwelikweli, siyo mchezo. Mimi naona bora waendelee kuficha hivyo hivyo tusije tukajaza magereza bure!!
kwani sie hatufichi?
Mkuu umesahau kuwa siku zote kimtamanishacho mtu na kumtia ny.ge ni kile alichonacho mwenzake na si kile alichonacho yeye.Sasa kwa hilo mi naona wa kwetu bora waendelee kuficha tu maana wakituoneshaonesha sana tutavizoea na tutawaona wa kawaida.
Hivi ni kweli hamtamani???mnaficha na bado hatuvitamani.
Hivi ni kweli hamtamani???
Usiniambie mwanamke anaolewa ili kumplease mwansmume. Girls don't be too low, n u are asking for gender equallity while u can't even openly discuss feelings zako.
Hivi ni kweli hamtamani???
Usiniambie mwanamke anaolewa ili kumplease mwansmume. Girls don't be too low, n u are asking for gender equallity while u can't even openly discuss feelings zako.
Hivi na vyenu hua vinatamaniwa????:embarassed2:
mnaficha na bado hatuvitamani.