Sasa Rasmi: CAF yathibitisha Tanzania kupeleka timu 4 mashindano ya vilabu barani Africa 2019/2020

Afadhali umenitoa wasiwasi, maana kulikuwa na ujumbe unasambaa kutupa tahadhari kwamba Yanga wanasajili kila wanayemwona, hivyo tuwe makini.
Aaah! Maneno ya Mtaani hayo Mtani japo ndio yalisambaa mpaka basi.
 
Yani wewe hujui kitu kabisa, alafu jina lako ni lakike kama wewe ni mwanamke sitashangaa ila kama dume badilika.

Simba kachangia point 15 yanga ikiwa imechangia point 3 tu.
Ondoeni point zenu tatu tuone mtaenda wapi
 
Yani wewe hujui kitu kabisa, alafu jina lako ni lakike kama wewe ni mwanamke sitashangaa ila kama dume badilika.

Simba kachangia point 15 yanga ikiwa imechangia point 3 tu.
Ondoeni point zenu tatu tuone mtaenda wapi
We kipapa hata hujui unachoongea. Kwa ulichoandika hapo juu unazipa hadhi point za Yanga. Tunapaswa tujipongeze na kushukuru hali timu za Kenya hasa Gormahia walipozingua pia. Kusema hivi simaanishi kwamba Simba hana mchango wake, anao ila na Yanga wana jasho lao hapo
 
Nyie mafala kushukuru kwa lipi?
 
Kigezo gani kimetumika kumpa KMC hiyo nafasi Wakati hajacheza fainali yoyote?
Wewe frog wa jangwani Arabi Nanjewa bila Simba mngepata hii nafasi?
Respect Simba kuanzia leo Sithole
Viti maalumu fc
Kashika nafasi ya NNE ndicho kigezo kilichutumika husomi maelezo?
 
Nyie mafala kushukuru kwa lipi?
Inaonekana hujielewi kabisa ndezi wewe, Simba ilikuwa ikishiriki CAF champions league na Viti maalumu fc ilikuwa ikishiriki CAF confederation league ambayo iliishia hatu ya makundi mara mbili kama rekodi zangu ziko sawa.

Tukiacha unazi na ushabiki ulionao wewe Mchango wa Simba inabidi uheshimiwe.
Na kwa taarifa zilizopo ni kwamba Simba na Wenzake walioishia Quarter finals zitacheza mechi moja tu wanaingia hatua ya makundi nyinyi mjipange sana.
 
Kashika nafasi ya NNE ndicho kigezo kilichutumika husomi maelezo?
Tatizo umekurupuka usingizini post ilikuja zamaaani toka jana.

Haikuja na nyama za kutosha kuanzia barua ya TFF na maelezo ya kina.
 
Ahsante kwa kuniita hilo jina Kiamba mkumba wewe.

Narudi kwenye mada, huwezi kuishukuru Gor ukaiacha Simba na Simba haiwezi kuishukuru timu yoyote zaidi ya yenyewe kwa performance bora kabisa iliyokuwa nayo.

Appreciate mchango wa Simba hata kimoyomoyo, Points za CAF champions league ni kubwa kuliko za shirikisho.
Simba ingeishia group stages hii nafasi msingeipata KAMWE na Simba ina malengo ya kuchukua Kombe la Africa na NINAAMINI TUTALIBEBA.
 
Tusameheane
 
Kinachowauma Mikia FC ni wao kukaa miaka mitano bila ya kucheza mashindano ya CAF. . Alafu Yanga wamekaa nje msimu mmoja tu.. INAWAUMA SANA..
Inshu sio miaka mitano tuko nje.. ila ni nyie katika miaka 5 mnapoint 3 halafu mnapanua pua humu eti wakimataifa.
 
Yanga kaingia mara kadhaa makundi.. hiyo kadhaa ni ngapi ndio mpate point 3 miaka mitano.
We tulia tu.. Tumeshajua nani anaendaga kupiga kazi KIMATAIFA na nani Anapotezaga nauli bure tu...(18-3=?)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…