Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
[TABLE="class: t1"]
[TR]
[TD="class: td1"]KATIKA IBARA YA 90.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya ibara ndogo ya (2), endapo mtu yeyote aliyeshiriki kama mgombea katika nafasi ya madaraka ya Rais katika uchaguzi wa Rais hakuridhika na matokeo ya uchaguzi huo, anaweza kuwasilisha malalamiko katika Mahakama ya Juu kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Hii ni kwamara ya kwanza Tanzania.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[TR]
[TD="class: td1"]KATIKA IBARA YA 90.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya ibara ndogo ya (2), endapo mtu yeyote aliyeshiriki kama mgombea katika nafasi ya madaraka ya Rais katika uchaguzi wa Rais hakuridhika na matokeo ya uchaguzi huo, anaweza kuwasilisha malalamiko katika Mahakama ya Juu kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
Hii ni kwamara ya kwanza Tanzania.
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]