mpenda arage
JF-Expert Member
- Nov 10, 2015
- 1,677
- 3,806
Kwani msimu uliopita tuliwafunga? Ila bingwa akawa nani?Pamoja Na ubovu Wa kocha Wa Simba,ila matopeni fc hamuifungi Simba.Kocha wenu ndo Yale Yale tu sawa Na Omog
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mchezaji gani yupo pale Simba kwamba kocha yeyote katika nchi yetu hasa club hizi kubwa asingemhitaji....Nikiwa Na maana yupo pale kimakosa Na Hana kiwango kizuri.mna mlaumu Omog je hao wachezaji wote walio sajiliwa aliwapendekeza yeye? au ndio punda afe mzigo ufike
Kila mmoja Na aina yake ya uchezaji pia Mdhamiru akiwa majeruhi Nani atacheza.Hata hivyo huwezi kuniambia kwa kuwa kocha Wa manchester United hakumpendekeza C.Ronaldo,Messi Na Neymer na viongozi wakiwasajili basis makocha watagoma.No kocha gani hataki aina hiyo ya wachezaji.In kocha gani hataki backup nzuri Na yenye uhakika.Omog akishindwa yeye asilete visingizio eti hakupendekeza yeye.Niambie katika wachezaji hao no Nani hakustahili Na nafasi take ingechukuliwa Na mchezaji gani ambaye viwango vitamzidi mbali Sana.Tatizo mnamlau kocha wakati usajili wamesajili viongozi bila kujali mahitahi ya timu, mfano niyonzima wa nini wakati una mo ibrahimu na mzamiru?
Kocha atafukuzwa c kwa makosa yake ila kwa makosa ya viongozi na pressure ya mashabiki wasiojuwa mpira maana soon ataanza kupangiwa kikosi(11)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kla coach ana falsafa yake mchezaji anaweza kua ana kiwango kizuri lkn haendani na mfumo wa coach mbona ipo wazi hii?Ni mchezaji gani yupo pale Simba kwamba kocha yeyote katika nchi yetu hasa club hizi kubwa asingemhitaji....Nikiwa Na maana yupo pale kimakosa Na Hana kiwango kizuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani dunia hii hamjui C. Ronaldo, Neymar na Messi? Timu gani dunia hii itawakataa hao? Timu gani dunia hii itakubali kuwaaachia hao kirahisi inapokuwa nao? Kama Omog hakuwa anawajua binafsi, una uhakika gani kwamba alikuwa anawajua ilhali wao si Ronaldo, Messi na Neymar wa Afrika? Mbona baaadhi yao hawakuwa wakiwaniwa na timu nyengine? Mbona baadhi waliachiwa kirahisi na timu zao? Tujifunze kutofautisha ujauzito na utapiamlo hata kama vyote vinasababisha tumbo kuvimba.Kila mmoja Na aina yake ya uchezaji pia Mdhamiru akiwa majeruhi Nani atacheza.Hata hivyo huwezi kuniambia kwa kuwa kocha Wa manchester United hakumpendekeza C.Ronaldo,Messi Na Neymer na viongozi wakiwasajili basis makocha watagoma.No kocha gani hataki aina hiyo ya wachezaji.In kocha gani hataki backup nzuri Na yenye uhakika.Omog akishindwa yeye asilete visingizio eti hakupendekeza yeye.Niambie katika wachezaji hao no Nani hakustahili Na nafasi take ingechukuliwa Na mchezaji gani ambaye viwango vitamzidi mbali Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niambie in mchezaji gani pale aliyesajiliwa Na Simba,club nyingine kubwa hatahitajika?Mbona baaadhi yao hawakuwa wakiwaniwa na timu nyengine? Tujifunze kutofautisha ujauzito na utapiamlo hata kama vyote vinasababisha tumbo kuvimba.
Basi falsafa yake imeshindwa pale Simba.Aondoke,Jana Simba ilimzidi Sana Azam ila sijui amewaambia wacheze kwa mtindo gani pale mbele.Hata simuelewi.Mkuu kla coach ana falsafa yake mchezaji anaweza kua ana kiwango kizuri lkn haendani na mfumo wa coach mbona ipo wazi hii?
Boko hana anachokifanya uwanjani. Boko hajawahi kuifungia goli Simba sc hata zile mechi za majaribio. Boko anarukaruka tu uwanjani kocha anamwacha dakika zote 90 bila kumsabu.Omog atapozwa na boko acha tusubiri muda uamue. Boko anaruka tu uwanjani yani omog asipobadilika itakula kwake
Nafikiri unafahamu hiyo ripoti Ina majina gani.Tuambie wachezaji waliopendekezwa kusajiliwa.Tatizo hanspope manara na kaburu kama hujui wanaingilia mpaka mikakati na mipango ya kocha... wanaingilia benchi la ufindi kama wao ndo makocha.. tafuta report ya kocha uone kama alisema bocco, niyonzima, nyoni na okwi kocha aliomba wasajiliwe