Elections 2010 Sasa tusubirie majambazi watakaopangwa kwenye first eleven

Elections 2010 Sasa tusubirie majambazi watakaopangwa kwenye first eleven

Keynes

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
533
Reaction score
90
Sasa tayari washajitawaza jamani mi nasubiria nione wezi watakao pangwa kwenye hilo baraza la mawaziri.
Sio ajabu huyu mtu asivyo na aibu akawarudisha wale watuhumiwa wa ufisadi kwenye baraza la mawaziri.
EE MUNGU PITISHA MBALI MAANA hii ni dharau kubwa kwa watanzania inaweza kunifanya nitupe pasport ya tanzania na cheti cha kuzaliwa msalani
 
Back
Top Bottom