Hahahahaha, akimeza zote kuna madhara?Mkuu ipi itakufaa kati ya panadol na diclopar.
Kunywa maji mengi mkuuManara aliwatukana kwamba hawana akili kwamba wenye akili ni wawili tu lakini baadae wakamsajili na sasa wanamshangilia.
Hata hili la chama sasa hivi wanasema Chama ni bora kuliko aziz ki na pacome .
Hizo ndizo akili za Wana utopolo kama alivyosema Manara .Tuwavumilie tu ndivyo walivyo