Ndo hali halisi humu jukwaani sasa!
Hakiangaliwi chanzo tena, ikitokea habari ya kubaka/kulawiti basi watu hukimbizana kuangalia kwanza nani katenda na si ilikuaje au tatizo nini hadi limetendeka hilo. Akishajulikana tu mbakaji/mlawiti (kiimani) basi watu hukimbizana tena mbio za speed ya hali ya juu kuja humu kuwahi kukashfu upande wa imani anayotokea mbakaji au mlawiti. Yaani hakuna anayehangaika na nini chanzo cha kuongezeka kwa haya mambo na tiba yake ya kudumu ni ipi bali hangaiko linakwenda kwenye ushindani wa ukali wa kashfa atakayoweza kuitoa mtu. Huu upumbavu kabisa!!
Kwa upumbavu huu, walawiti na wabakaji wanakuwa entertained kulingana na upande wanaotokea na, kama laana tunayolipwa kutokana na huu upumbavu, wanaongezeka kila leo. Watoto hawako salama tena, haijalishi wanatokea upande gani wa imani.
Ni wakati wa kuacha upumbavu sasa.
Hakiangaliwi chanzo tena, ikitokea habari ya kubaka/kulawiti basi watu hukimbizana kuangalia kwanza nani katenda na si ilikuaje au tatizo nini hadi limetendeka hilo. Akishajulikana tu mbakaji/mlawiti (kiimani) basi watu hukimbizana tena mbio za speed ya hali ya juu kuja humu kuwahi kukashfu upande wa imani anayotokea mbakaji au mlawiti. Yaani hakuna anayehangaika na nini chanzo cha kuongezeka kwa haya mambo na tiba yake ya kudumu ni ipi bali hangaiko linakwenda kwenye ushindani wa ukali wa kashfa atakayoweza kuitoa mtu. Huu upumbavu kabisa!!
Kwa upumbavu huu, walawiti na wabakaji wanakuwa entertained kulingana na upande wanaotokea na, kama laana tunayolipwa kutokana na huu upumbavu, wanaongezeka kila leo. Watoto hawako salama tena, haijalishi wanatokea upande gani wa imani.
Ni wakati wa kuacha upumbavu sasa.