Sasa unatakiwa Namba ya simu Kutumia Gmail

Sasa unatakiwa Namba ya simu Kutumia Gmail

Yona F. Maro

R I P
Joined
Nov 2, 2006
Posts
4,201
Reaction score
236
Kwa wale watumiaji wa huduma za google haswa hii huduma ya anuani ya barua pepe yaani gmail watakuwa wameona kitu kipya ambacho kimeanza toka mwezi wa 7 mwaka huu ambapo unatakiwa kudhibitisha anuani ya barua pepe yako kwa kuandika namba zako za simu za kiganja angalia

ANGALIA ATTACHMENT
 

Attachments

Back
Top Bottom