Sasa yale maumivu ya kuachwa alama 13 yataanza kupenya taratiiibuu

Sasa yale maumivu ya kuachwa alama 13 yataanza kupenya taratiiibuu

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Nafikiri Simba kuondoshwa kwenye michuano lilikuwa ni suala la muda tu kwa sisi tunaoujua mpira kiufundi tulijua mapema kwamba mwisho wa Simba ni hapo wasingeweza kutoboa kwa namna yoyote vile, mchezo uliishia kwa mkapa kule ilikuwa wanakwenda kukamilisha ratiba tu.

Sasa wanarudi kwenye ile ligi waliyoiita ya mbuzi maana viongozi wao walikuwa wanajificha kwenye kichaka cha kombe la shirikisho maana wangefuzu wangezima maumivu ya kuachwa alama 13 lakini ndo ivyo.

Wamesulubiwa vizuri tu kwaiyo wajipange uku napo awana chao waje wacheze mechi zao wakamilishe ratiba kwakuwa bingwa ashajitengea himaya yake
 
Usitegemee chochote kwa timu iliyojaza vibabu
Tulikuwa tunawaambia apa kwamba awana timu ya kuwavusha apo walipofikia lakini walikuwa wanakuja na full matusi na kuaminishana maneno ya kwenye kahawa Kama unavyojua mjinga na mjinga wakikutana ni Kama pipa na mfuniko,,sasa tulikaa kimya ili waonyeshwe mechi za mtoano zinavyochezwa kikubwa,,,unaweza ukaruka ruka kama maharage lakini mwisho wa siku unakarishwa,,,ni sawa na kumhonga demu alafu anayekwenda kumla ni mwingine wewe unakuwa mhongaji tu na upati kitu!
 
Nafikiri simba kuondoshwa kwenye michuano lilikuwa ni suala la muda tu kwa sisi tunaoujua mpira kiufundi tulijua mapema kwamba mwisho wa simba ni hapo wasingeweza kutoboa kwa namna yoyote vile, mchezo uliishia kwa mkapa kule ilikuwa wanakwenda kukamilisha ratiba tu.

Sasa wanarudi kwenye ile ligi waliyoiita ya mbuzi,,,maana viongozi wao walikuwa wanajificha kwenye kichaka cha kombe la shirikisho maana wangefuzu wangezima maumivu ya kuachwa alama 13 lakini ndo ivyo.

wamesulubiwa vizuri tu kwaiyo wajipange uku napo awana chao waje wacheze mechi zao wakamilishe ratiba kwakuwa bingwa ashajitengea himaya yake
Unawachezaji wazee ......then unataka ubingwa wa CAF .........labda CUF ya lipumba[emoji23][emoji23]
 
'Thiti ithi thimba',ohhh!! Sorry,'Shimba guvu moja'[emoji12][emoji12]
😁😁😁 Jana kocha wao alianzisha walinzi tupu! Ili kuwepa kipigo cha aibi ugenini! Mugalu kachezeshwa kama kiungo mkabaji, na matokeo yake tuliyaona!

Natamani kile kikosi cha jana kianzishwe tena tarehe 30 Jumamosi ijayo pale kwa Mkapa!
 
Mo na management ya Simba yapaswa jitafakari na kuchukua uamuzi mgumu
 
Nakubali kabisa Uto ni jayanti wa afrika

FDD64284-82E5-41D9-9576-F44BA19B2172.png
 
😁😁😁 Jana kocha wao alianzisha walinzi tupu! Ili kuwepa kipigo cha aibi ugenini! Mugalu kachezeshwa kama kiungo mkabaji, na matokeo yake tuliyaona!

Natamani kile kikosi cha jana kianzishwe tena tarehe 30 Jumamosi ijayo pale kwa Mkapa!
Hongereni Yanga kwa ushindi wa jana.
 
Nafikiri si vyema sana Kwa mashabiki wa Yanga kuinanga Simba kwa kilichotokea South Afrika....Simba walijitahidi sana....
 
Back
Top Bottom