The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Pro Chitamu sidhani kama anaweza kusaidia lolote kwa hali ilivyo sasa hivi nafikiri the only option iliyobaki ni kuiuza kama wanavyotaka kufanya, investor pia hawezi kuendelea kutoa hela kama kampuni haileti faida yoyote ile huu mwaka wa 3 sasa kampuni haija-expand kwenda mkoa wowote ule, ikumbukwe management ilikuwa ni ya wa Norway kabla ya kubadilishwa na kuwekwa wa South AfricaProf Chitamu, mambo yamekuwaje tena?
Kampuni ya mawasiliano ya Sasatel iko katika hati hati ya kufungwa baada ya kushindwa kufanya vizuri katika soko la mawasiliano hapa Tanzania ikiwemo kushindwa kujitanua kwenda mikoa mingine huu ukiwa ni mwaka wa 3 sasa ila bado wako Dar es Salaam tu.
Kwa sasa ofisi zao zilizokuwa Uganda tayari zimeishafungwa kwa hapa Tanzania alikuwa anatafutwa mnunuzi bahati nzuri ikawa imejitokeza kampuni ya RAHA.COM ambayo ilitaka kuinunua Sasatel ila kiasi cha pesa walichokuwa nacho ni kidogo kwahiyo ikashindikana kufikiana makubaliano, kama hali itaendelea kuwa kama ilivyo sasa basi miezi michache ijayo wanaweza kusitisha operation hapa Tanzania pia..
Mkuu sijajua kiasi gani lakini nafikiri mara nyingi kwenye ununuzi huwa wanaangalia value ya kampuni husika kwa wakati huo iko vipi na pia kwenye soko kama inafanya vizuri au lah..Wanaiuza bei gani Arif?....nataka niinunue iwe JAMBOTELL au JAMIITEL.
Mkuu endelea kutumia tu si mpaka pale watakapoamua kufungusha virago..We baba we, loh!
Mbona usiseme juzi wajamini, mwenzio ndio kwanza nimetoka kujitutumua kununua mo-demu yao juzi kati hapa? Lah, sijui inachakachulika
SI mambo haya tushayazowea... Si unakumbuka GTV?We baba we, loh!
Mbona usiseme juzi wajamini, mwenzio ndio kwanza nimetoka kujitutumua kununua mo-demu yao juzi kati hapa? Lah, sijui inachakachulika
Mkuu ushindani ni mkubwa pia hawajaweza ku-expand kwenda mikoa mengine hivyo kuwafanya wawe stagnantMbona walianza vizuri? Nini kimewasibu?
Mkuu bado nafuatilia nachojua pia kuna wachina pia walikuwa interested kwenye kuinunua lakini naona na wenyewe wameingia mitini..wanauza kiasi gani?
hebu fuatilia basi hata estimations tu...
Kwa sasa staff wamebakia wachache, wengi wao waliishaacha kazi na kwenda kwingine baada ya kuona upepo si mzuriDuuuh STAFF WENGI... na siye tuliyochukuwa VI~modemu vyao...
Mkuu ushindani ni mkubwa pia hawajaweza ku-expand kwenda mikoa mengine hivyo kuwafanya wawe stagnant