Kama Sauli, subiri utembelewe!Yesu wapi wewe ,shetani ndo baba lao,yesu mtoto wa juzi tu
Wala, hilo neno Ghost ndio limekuchanganya.Kisa nimesa in,we ulitaka on?
Nimekuwa nikiona mara nyingi watu wakitumia hili neno kumuwakilisha Roho Mtakatifu. Lakini mwalimu wangu wa kiingereza drs la 3 aliniambia ghost ni mzimu na Roho Mtakatifu niliambiwa ni Holy Spirit. Haya mambo yanafhanganyaSatan is our big brother,have respect in himView attachment 2570104
Yesu wapi wewe ,shetani ndo baba lao,yesu mtoto wa juzi tu