Mausingizii
Member
- Jul 14, 2022
- 90
- 74
Habari waungwana ,natamani kujumuika katika biashara ya uuzaji wa vitambaa hivi vya wakina mama ambao umeshamiri na mita moja inauzwa sh 5000
Niko Dodoma, mwenye uzoefu na biashara hii na mahali wanapochukulia naomba muongozo
Niko Dodoma, mwenye uzoefu na biashara hii na mahali wanapochukulia naomba muongozo