Kila mtu anahaki kupenda anachotaka. Wazungu wamesema
Everyone has the right to love what they want.
Lkn kitendo cha kujitosa mzima mzima tena kwa nguvu sana ktk uchaguzi wa chadema kipindi hichi ukiwa unapigania haki yako ya kutekwa sio kitendo kilicho sawa.
1. Utapoteza mwelekeo wako kabisa na utakosa nguvu ya support kutoka kwa chadema na wanaharakati wengine ambao hapo mwanzo walikuwa wakipaza sauti.
2. Hivi sasa ktk social media unavita vya aina 3, Ccm, chadema na invisible.
Baada ya uchaguzi wa chadema ambao wazi kabisa Lissu anaangushwa ktk uchaguzi huu ni wazi na weye mwelekeo katika kudai haki yao nguvu itapotea kabisa , Lissu atakukipimbia kabisa.
USHAURI.
HUJACHELEWA, KAA KANDO KTK VITA HIVI VYA UCHAGUZI, ILI SUPPORT KWA
Everyone has the right to love what they want.
Lkn kitendo cha kujitosa mzima mzima tena kwa nguvu sana ktk uchaguzi wa chadema kipindi hichi ukiwa unapigania haki yako ya kutekwa sio kitendo kilicho sawa.
1. Utapoteza mwelekeo wako kabisa na utakosa nguvu ya support kutoka kwa chadema na wanaharakati wengine ambao hapo mwanzo walikuwa wakipaza sauti.
2. Hivi sasa ktk social media unavita vya aina 3, Ccm, chadema na invisible.
Baada ya uchaguzi wa chadema ambao wazi kabisa Lissu anaangushwa ktk uchaguzi huu ni wazi na weye mwelekeo katika kudai haki yao nguvu itapotea kabisa , Lissu atakukipimbia kabisa.
USHAURI.
HUJACHELEWA, KAA KANDO KTK VITA HIVI VYA UCHAGUZI, ILI SUPPORT KWA