Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,605
- 1,957
Kuwa na PhD ya ujanja ujanja na mambo unayaweza pia ni akiliMbona hao hao walaji wa sato tena wanakua na PhD za ujanja ujanja...
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali ulaji Samaki aina ya Sato kwa wingi unaongeza uwezo wa brain kufanya kazi. Aidha hata mama mjamzito akitumia samaki hao kwa wingi hasa vichwa vyake kabla na baada ya kujifungua basi mtoto wake anakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na brain nzuri zaidi. Hali huongeza uelewa wa mtoto darasani. Samaki hao wanapatikana Ziwa Victoria.Mbali na kuongeza uwezo wa brain samaki hao pia huongeza uimara wa viungo vya mwili, ukuaji wa uhakika, pamoja na kuongeza hali ya kujiamini.n.k
Aksanteni.
ni kweli.na madini ya OMEGA -3 ndo yanayosaidia hapo kwenye ukuaji wa ubongo na mtoto kuwa mwepesi kiakili...
but utafaidika sana na haya madini kwa samaki aliyetoka direct ziwani hadi jikoni ukamuandaa mlo.alievuliwa kwa njia za asili.
sasa kama we upo mjini mbali huku..samaki mpaka wafike washaekwa madawa ya kutosha..si bure pia walivuliwa kwa baruti.
hapo utakula madini pungufu nakujaza sumu mwilini.
We we mzee kijeba unatakiwa ule sato Wa ziwa Victoria wote hasa wale wanaotoka kwenye mazalia yao karibu na kisiwa cha Rubondo..Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali ulaji Samaki aina ya Sato kwa wingi unaongeza uwezo wa brain kufanya kazi. Aidha hata mama mjamzito akitumia samaki hao kwa wingi hasa vichwa vyake kabla na baada ya kujifungua basi mtoto wake anakuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na brain nzuri zaidi. Hali huongeza uelewa wa mtoto darasani. Samaki hao wanapatikana Ziwa Victoria.Mbali na kuongeza uwezo wa brain samaki hao pia huongeza uimara wa viungo vya mwili, ukuaji wa uhakika, pamoja na kuongeza hali ya kujiamini.n.k
Aksanteni.
Hahahah hebu endelea mkuu..kwamba hao watoto wakiendelea kula mapanki watakua jamii ya willy malecela au?! kwamba watanenepa mpaka pua lakini akili size ya kisoda? fafanua kidogo boss!Wala sato wengi wana akili nzito balaa hapa jirani zangu wamekulia huko daah majanga!!.. watoto wao sasa yaani bora hata baba na babu zao.. akilli hazikui wanakua miguu tu!!..na hawa msosi wao daily ni sato!!wanaletewa kutoka kwao huko kanda ya ziwa.. mifano ninayo mingi ila nimeanza na mfano wa jirani yangu na usitake niendelee zaidi
ya sato labdaKuwa na PhD ya ujanja ujanja na mambo unayaweza pia ni akili
Mambo yepi unayoyaweza endeleeni kudanganyana...Nchi zilizoendelea hakuna sato na wapo vizuri kichwani...Kuwa na PhD ya ujanja ujanja na mambo unayaweza pia ni akili
Una utani na Bi.Grace wewe badamu bata kurukia!mbona mkulu hana akili anadanganywa na bashit
Kweli kabisa watu wa kanda pendwa pamoja na kula sato wameishia kuzalisha kina dr shika na phd za mafuta ya korosho zenye walakiniMbona hao hao walaji wa sato tena wanakua na PhD za ujanja ujanja...
Aaa wapi! Yule hajala sato. Labda kama alikuwa anadokoa kwa majirani. Yule atakuwa mlaji wa masangu, michembe na matowolwa.Mbona hao hao walaji wa sato tena wanakua na PhD za ujanja ujanja...
Segito ndiyo maana umeamua uishi karibu na ziwa ili wajomba zangu wa-shine akili like the diamond? Rudi Mapogolo uje ule mikusu na mifudu. Hahahahaa100% ni kweli !hasa vichwa vya sato